Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ujenzi wa barabara hiyo ya lami unatajwa kuwa kichochea cha shughuli za bandari hiyo iliyojengwa kwa fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 47.9 huku matarajio ni kuongeza mtandao wa biashara katika nchi za Burundi, Rwanda na DRC Congo.
Kaimu Meneja wa TANROADS Mkoa wa Katavi, Mhandisi Albert Laizer amesema baada ya kukamilika kwa ujenzi wa barabara hiyo utakwenda kutibu kero ya foleni za magari mengi yanayosafirisha bidhaa kwenda nchi ya Zambia kwa kupitia barabara ya Mbeya - Tunduma.