Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
MASIKINI
INASIKITISHA SANA NILIKUWA SAFARI NIMERUDI JANA
NIKASEMA NIKAMWONE DADANGU KIPENZI MAKAZI MAPYA MBEZI BEACH NIKAKUTA BARABARA AMBAYO DADA NAE ALICHANGIA 50000 HAIFAI.......
Kabisaaaa
Kuuliza naambiwa kunaa mkandarasi kapata tenda ya kutoa michanga huko chiinii mtonii
Shida si mchangaaa shida ana malori ambayoo n makubwaaa yakijaza mchanga barabara nzima imearibika
Mbaya zaidi hii njia kuingia makazi mapya chadema opp na jk hadi lami imearibika kabisaa haifaiiii
Mkuu wa wilaya kinondon ana taarifaaa hiii ofisi ya mkuu wa mkoa wanataarifa hiii watoto wameshindwa kwenda shule gari azizifiki
Inasikitisha saba sana tunaomba kuwajuza ofisi ya mkuu wa mkoaaa hawa wananchi msipowasikiliza wanamaamuzi magumu
Serikali ya mitaaa mbezi beach na mtendaji wake wanaonekana kila siku usiku na mkandarasi mtoni haijulikan wanafanya nini
Haitoshi serikal upande wa mazingira walikuja wakafanya mkutano wakasema mwisho wa kazi saa kumi na mbili
Leo hiiii magari mpaka saa moja nanusu yako mtoni watu wanashindwa kupitaaaa
Inasikitisha sanaa serikali msimamie haya mambo wananchi wanatia huruma
Ofisi ya mkuu wa wialaya tokens ofisini nendeni mkaone lami ya tanroad ilivyoaribika ukumbuke n kodi za wananchi hizo
Alldbest
INASIKITISHA SANA NILIKUWA SAFARI NIMERUDI JANA
NIKASEMA NIKAMWONE DADANGU KIPENZI MAKAZI MAPYA MBEZI BEACH NIKAKUTA BARABARA AMBAYO DADA NAE ALICHANGIA 50000 HAIFAI.......
Kabisaaaa
Kuuliza naambiwa kunaa mkandarasi kapata tenda ya kutoa michanga huko chiinii mtonii
Shida si mchangaaa shida ana malori ambayoo n makubwaaa yakijaza mchanga barabara nzima imearibika
Mbaya zaidi hii njia kuingia makazi mapya chadema opp na jk hadi lami imearibika kabisaa haifaiiii
Mkuu wa wilaya kinondon ana taarifaaa hiii ofisi ya mkuu wa mkoa wanataarifa hiii watoto wameshindwa kwenda shule gari azizifiki
Inasikitisha saba sana tunaomba kuwajuza ofisi ya mkuu wa mkoaaa hawa wananchi msipowasikiliza wanamaamuzi magumu
Serikali ya mitaaa mbezi beach na mtendaji wake wanaonekana kila siku usiku na mkandarasi mtoni haijulikan wanafanya nini
Haitoshi serikal upande wa mazingira walikuja wakafanya mkutano wakasema mwisho wa kazi saa kumi na mbili
Leo hiiii magari mpaka saa moja nanusu yako mtoni watu wanashindwa kupitaaaa
Inasikitisha sanaa serikali msimamie haya mambo wananchi wanatia huruma
Ofisi ya mkuu wa wialaya tokens ofisini nendeni mkaone lami ya tanroad ilivyoaribika ukumbuke n kodi za wananchi hizo
Alldbest