Hii barabara ni kero sana tena sana. Mbunge wetu anaishia kutupanga kila mara. Hii barabara isipotengenezwa mpaka 2025 tutaona hakuna tofauti kati ya mbunge huyu aliyepo na yule aliyekuwepo.
Haiwezekani barabara ikawa mbovu kiasi hiki wakati huo sisi tuna mwakilishi. Mzee Magufuli (RIP) aliagiza hizi barabara kuu moja wapo ikiwa ni hii ya Mbezi high, zifanyiwe ukaguzi kwa ajili ya kuziwekea lami, lakini alivyofariki tu na kila mpango ukafa.
Tanroads, kwani ni nani ambaye huwa anatengeneza bajeti na kuingiza barabara zinazotakiwa kujengwa??
Haiwezekani barabara ikawa mbovu kiasi hiki wakati huo sisi tuna mwakilishi. Mzee Magufuli (RIP) aliagiza hizi barabara kuu moja wapo ikiwa ni hii ya Mbezi high, zifanyiwe ukaguzi kwa ajili ya kuziwekea lami, lakini alivyofariki tu na kila mpango ukafa.
Tanroads, kwani ni nani ambaye huwa anatengeneza bajeti na kuingiza barabara zinazotakiwa kujengwa??