TANROADS Morogoro hii ni aibu kwenu kushindwa hili.

TANROADS Morogoro hii ni aibu kwenu kushindwa hili.

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
PICHA: Mle mbuga ya mikumi, na kona za iyovi na maeneo mengi kipande hiki matobo barabarani ni mengi mno gari zinapasua matairi na malori plus mabus mengi yanachochora...Fanyeni mrekebishe hii kasoro kwa wakati.

20240618_094011.jpg

Mikumi mjini kilimani
 
Back
Top Bottom