TANROADS njooni muone aibu

TANROADS njooni muone aibu

Kenya wanajenga flyovers bana
Bongo tatizo upigaji mwingi
Kila mtu anataka kulaaaa

Ova
Kenya wapigaji maradufu lkn longo longo hawataki. Kenya hasifiwi mtu kisa tu anauwezo wa kuteua.
Jaji mkuu alishawahi kumdindishia rais kwenye uchaguzi feki na hakufanywa lolote mpaka anastaafu.
Kenya mkuu wa mkoa (county governor) anachaguliwa na wananchi.
Kenya jaji mkuu anachaguliwa na hapokei maelekezo kutoka kwa mtu yoyote.
Hapa hata mkurugenzi wa halmashauri anateuliwa maana yake wananchi hawawezi kumwajibisha.
Kenya is a democratic developed country.
 
Kenya wapigaji maradufu lkn longo longo hawataki. Kenya hasifiwi mtu kisa tu anauwezo wa kuteua.
Jaji mkuu alishawahi kumdindishia rais kwenye uchaguzi feki na hakufanywa lolote mpaka anastaafu.
Kenya mkuu wa mkoa (county governor) anachaguliwa na wananchi.
Kenya jaji mkuu anachaguliwa na hapokei maelekezo kutoka kwa mtu yoyote.
Hapa hata mkurugenzi wa halmashauri anateuliwa maana yake wananchi hawawezi kumwajibisha.
Kenya is a democratic developed country.
Swadakta

Ova
 
Nilishangaa kabla ya ujenzi wa kimara to kibaha walikuwa wapo kwenye ujenzi wa kituo Cha magari makubwa kati ya Kwa msuguri na kibanda Cha mkaa ilibaki kidogo tu wamalize ujenzi wa kama km1 matokeo yake wakaanza ujenzi huo wa barabara 6 palifumuliwa pote nilaani sana nikabak najiuliza hivi Hawa watendaji wanavichwa au cabbage tu hawana hata mpangilio wa kazi au plan
 
Sitii neno. Hawa ni majirani zetu tu hapo Kenya.
Nikifkiria kinachoendelea pale Mbezi mwisho napata hasira sana.

View attachment 2106569

View attachment 2106570
Naona nyuzi za kuponda Tanroads zimeongezeka Sana Siku za hivi karibuni..

Na walivyo wapumbavu watasingizia wanasiasa mara pesa,utafikiri pesa ndio ina design..

Hapo tuu Uganda ukienda wako mbali sana.
 
Naona nyuzi za kuponda Tanroads zimeongezeka Sana Siku za hivi karibuni..

Na walivyo wapumbavu watasingizia wanasiasa mara pesa,utafikiri pesa ndio ina design..

Hapo tuu Uganda ukienda wako mbali sana.
Kabisa mkuu...yaani hawajui wanasiasa wao hawanaga ubavu wa kupangua kitu kikiwa kizuri. Kiufupi Tanroads ni wavivu wa kufikiri na hawajifunzi wengine wanafanyaje na watasingizia budget
 
Nilishangaa kabla ya ujenzi wa kimara to kibaha walikuwa wapo kwenye ujenzi wa kituo Cha magari makubwa kati ya Kwa msuguri na kibanda Cha mkaa ilibaki kidogo tu wamalize ujenzi wa kama km1 matokeo yake wakaanza ujenzi huo wa barabara 6 palifumuliwa pote nilaani sana nikabak najiuliza hivi Hawa watendaji wanavichwa au cabbage tu hawana hata mpangilio wa kazi au plan
Halafu umeona kakituo ka malori pale kwa msuguli kalivyo kadogo? Ndo ujue hawa jamaa hawana akili kabisa yaani malori yalivyomengi njia hii na bado wamejenga kituko matokeo yake malori yanapaki road tena. Tanroads bhana
 
Hiyo inafikia ubungo flyover?
Ubungo flyover unadhani ndo bao la kujidai kwa kenya? Mkuu nenda tu ukatembee mwenyewe uone walivyo na ma flyover,bypass,underpass mengi utakuja unatukana bongo. Magu alivyosemaga atajenga maflyover kumi alikua anajua kinachoendelea duniani na kiukweli alikua anatukimbiza sababu tumechelewa. Haya sasa kaondoka na flyover zake 10 na hatutaskia tena habari za flyover kama Mbezi tu wameshindwa wataweka wapi kwingine
 
Ubungo flyover unadhani ndo bao la kujidai kwa kenya? Mkuu nenda tu ukatembee mwenyewe uone walivyo na ma flyover mengi utakuja unatukana bongo. Magu alivyosemaga atajenga maflyover kumi alikua anajua kinachoendelea duniani na kiukweli alikua anatukimbiza sababu tumechelewa. Haya sasa kaondoka na flyover zake 10 na hatutaskia tena habari za flyover kama Mbezi tu wameshindwa wataweka wapi kwingine
Ngoja wamalize uhasibu na chang’ombe kwanza
 
Ngoja wamalize uhasibu na chang’ombe kwanza
Wapuuzi wanaacha kujenga vitu vya maana sehemu ambako ndio lango la jiji ambako kila mtu anapita wanaenda kujenga huko pembeni. Utadhani hawaelewi maana ya majiji
 
Nairobi hiyo, na imagine magari yaliyoko Dar uote ni robo tu ya magari yote yaliyoko Nairobi, number of cars zenye ziko Nairobi zingekua Dar nakwambia pasingepitika the way Dar miundombinu ni mibovu na haijapangiliwa, ni kama hatuna ma wataalamu kabisa, yan Tanroad kumejaa washamba na wapuuzi[emoji57]
images%20-%202022-02-03T203119.623.jpg
images%20-%202022-02-03T203401.566.jpg
images%20-%202022-02-03T203305.903.jpg
images%20-%202022-02-03T203419.592.jpg
images%20-%202022-02-03T203411.691.jpg
images%20-%202022-02-03T203250.731.jpg
images%20-%202022-02-03T203150.029.jpg


Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Wapuuzi wanaacha kujenga vitu vya maana sehemu ambako ndio lango la jiji ambako kila mtu anapita wanaenda kujenga huko pembeni. Utadhani hawaelewi maana ya majiji
Hufahamu foleni za kuanzia kamata hadi chang’ombe inaonekana, hujawahi kukutana nayo
 
Halafu umeona kakituo ka malori pale kwa msuguli kalivyo kadogo? Ndo ujue hawa jamaa hawana akili kabisa yaani malori yalivyomengi njia hii na bado wamejenga kituko matokeo yake malori yanapaki road tena. Tanroads bhana
Parking haina hata choo wala bafu, halafu wanacharge 5k/truck.. hovyo kabisa

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom