TANU na Sanduku la fedha la Abdul Sykes

TANU na Sanduku la fedha la Abdul Sykes

History ya Sykes ni fake maana ni biased! Kesho nitapiga picha document kutoka ccm. Kuchanganya madesa ni polite way ya kusema umefuanganya! Usipende kulazimisha Hoja zako katika mjadala
Utatokwa na kamasi bure ukizungumzia sykes na mzee wetu hapa Mo said😂
Nahisi Alipenda sana kuona sykes angekuwa kiongozi wa taifa hili lakini siyo yule
Na kwa upande wangu sykes namuona kama alikuwa na umagharibi zaidi,bepari
Nahsi angetawala tanganyika ingekuwa kama ulaya

Ova
 
Utatokwa na kamasi bure ukizungumzia sykes na mzee wetu hapa Mo said😂
Nahisi Alipenda sana kuona sykes angekuwa kiongozi wa taifa hili lakini siyo yule
Na kwa upande wangu sykes namuona kama alikuwa na umagharibi zaidi,bepari
Nahsi angetawala tanganyika ingekuwa kama ulaya

Ova
Mohamed Said anapindisha historia ya nchi hii kimakusudi
 
Utatokwa na kamasi bure ukizungumzia sykes na mzee wetu hapa Mo said[emoji23]
Nahisi Alipenda sana kuona sykes angekuwa kiongozi wa taifa hili lakini siyo yule
Na kwa upande wangu sykes namuona kama alikuwa na umagharibi zaidi,bepari
Nahsi angetawala tanganyika ingekuwa kama ulaya

Ova
Mrangi,
Abdul Sykes hakuchukulia siasa kama ajira kwa hiyo ashike nafasi ya siasa ili nafasi hiyo imwendeshee maisha yake.

Kwa ajili hii basi si Abdul wala Ally walikuwa na haja ya nafasi za siasa.
Mchango wao mkubwa katika TANU ulikuwa kufadhili harakati za uhuru.

Ukweli ni kuwa hawa ndugu wawili wakipenda sana biashara kama alivyokuwa baba yao.

Mwaka 1953 majina ambayo Abdul Sykes na Hamza Mwapachu walikuwa wakiyajadili kushika uongozi wa TAA na 1954 waunde TANU yalikuwa majina mawili jina la Chief David Kidaha Makwaia na Julius Kambarage Nyerere.

Jina la Abdul Sykes halikuwapo.
Je, mlikuwa mnaijua historia hii bila ya mimi kukuelezeni?

Mnaujua mkutano nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio, UkereWe kati ya Hamza Mwapachu, Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe ulioamua kuwa Nyerere aingizwe kwenye uongozi wa TAA?

Ndugu zangu isomeni historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika kuna mengi sana hamyajui.
Someni kitabu cha Abdul Sykes.

1644926240511.png


1644926914377.png
 
Mohamed Said anapindisha historia ya nchi hii kimakusudi
Kolola,
Nipindishe historia ya wazee wangu kutafuta nini na ili iwe nini?

Historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika imeandiwa na Kimambo na Temu (1969), Abubakar Ulotu (1971), Chuo Cha CCM Kivukoni (1981).

Soma hivi vitabu kisha soma kitabu cha Mohamed Said.
Akili yako itakuelekeza kwenye ukweli.
 
Mmeshatuchanganya tayari...
Sykes feki kivipi? Si ni yeye ndiye aliasisi TAA na alimkaribisha Nyerere chamani, au?
 
Back
Top Bottom