Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Note: Feisal siku hizi majukumu ya kukaba hayawezi, ila ni mzuri sana katika box la mpinzani, na sasa anacheza chini sana
Tena sio siku hizi, ni siku zote Feisal kuaba hawezi, huwa anaishia kucheza rafu. Hiyo kazi anaiweza Muzamiru
 
57' Inapigwa kona, Kennedy anapiga kichwa kikali ila kinazuiliwa na beki wa Kongo
 
Hawa wanafungika vizuri bila ubishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…