Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

MOSALA ELEKA MALOBA NA EBELE[emoji1078][emoji1078][emoji1078][emoji1078][emoji1078][emoji1078]
 
Kwann mkuu?
Kibu Denis ilitakiwa aanze nje, halafu Erasto Nyoni aje acheze na Dismas pale katikati kama two holding mildifieders na Feisal salum aende akacheze namba 10 kama attacking mildifieder

Note: Feisal siku hizi majukumu ya kukaba hayawezi, ila ni mzuri sana katika box la mpinzani, na sasa anacheza chini sana

Nadhani utakuwa umenielewa mkuu
 
Inamaana huyu miaka yote starz ikifungwa alikuwa anacheza.

Heshimu wachezaji wetu.
Kibu Denis ilitakiwa aanze nje, halafu Erasto Nyoni aje acheze na Dismas pale katikati kama two holding mildifieders na Feisal salum aende akacheze namba 10 kama attacking mildifieder

Note: Feisal siku hizi majukumu ya kukaba hayawezi, ila ni mzuri sana katika box la mpinzani, na sasa anacheza chini sana

Nadhani utakuwa umenielewa mkuu
 
Nimekusoma mkuu
Kibu Denis ilitakiwa aanze nje, halafu Erasto Nyoni aje acheze na Dismas pale katikati kama two holding mildifieders na Feisal salum aende akacheze namba 10 kama attacking mildifieder

Note: Feisal siku hizi majukumu ya kukaba hayawezi, ila ni mzuri sana katika box la mpinzani, na sasa anacheza chini sana

Nadhani utakuwa umenielewa mkuu
 
Pamoja kuwa tuko nyuma na tunaweza kupoteza hii mechi lakini ukweli ni kuwa kiwango cha Stars kwa sasa kimeimarika sana. Umiliki wa mpira umeimarika na hata kutengeneza nafasi wameimarika pia.

Vv
 
Back
Top Bottom