Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wakimtimua watakuwa wanamuonea kama wachezaji wenyewe ni kina Mzamiru na KibuHuyu kocha asipotimuliwa sijui
Kwa kuwa ile timu ya Afrika magharibi iliyopelekwa huko jeshini baadae iliuchukua UBINGWA WA AFRIKA NA DUNIA?!!!Hii timu ningekuwa na mamlaka, moja kwa moja jeshini. Pumbavu kabisa
Kocha hana kosa lolote, ila tumezidiwa quality.........Wakimtimua watakuwa wanamuonea kama wachezaji wenyewe ni kina Mzamiru na Kibu
😂😂Hahahaa akiwa na kundi lipi mkuu? Matchatcha au loketo?
Hongera mganga kwa ushindi[emoji23][emoji23]Hii mechi Tanzaniana inshinda, mm ni mganga wa kienyeji, nimeshafanya yangu, baadae msiache kunipongeza
Kwa akili yako Tanzania iitoe Kongo kwenye haya mashindano....ebu acheni akili za CCM..Mpira n Sayansi,inayowekezwa ...Kule Kongo tulibahatisha tu!hakuna Cha blabla. ...Hizo Blabla pelekeni Bunge la CCM !Hii timu ningekuwa na mamlaka, moja kwa moja jeshini. Pumbavu kabisa
Tumeepushiwa aibu kubwa ingeenda kutokea mbeleniFT Tanzania 0-3 DR Congo
👍Kocha hana kosa lolote, ila tumezidiwa quality.........
Sisi kusema ukweli badoTumeepushiwa aibu kubwa ingeenda kutokea mbeleni
Timu ipi ya majeshi iliyofanya vizuri kwenye ligi kuu ya Tanzania?Hii timu ningekuwa na mamlaka, moja kwa moja jeshini. Pumbavu kabisa
Huyuu kibwana shonari anacheza klabu gani ? Mbona ana michezo ya kitoto ?
🤣Hongera mganga kwa ushindi[emoji23][emoji23]