Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Wachezaji mwili uko uwanjani akili ziko zinawaza kununua crown na kumjengea mzazi nyumba na kunywa chai ikulu
 
Kuna jamaa alianzisha uzi akasema Tanzania 3-Congo 0.

Naona utabiri umekuja kinyume
 
Nilipomuona Majaliwa eti kaweka kiti kuangalia maxoezi kwa Mkapa nikajua balaa tayari.
Nuksi kwa taifa hili bado hamjaijua tu? Hao viongozi wa CCM wasihusishwe kwa lolote, hata tukipata vita wakijisogeza tuu ujue nchi itapokea kipigo cha mbwa koko.
 
Kama uwanja umetiwa nuksi kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Zesco, imekuaje timu ya Tanzania ikashinda kwenye uwanja huo huo dhidi ya Madagascar?
Si ndo hamna consistance ya ushindi kabisaa yaan Utopolo ina gunduu mnoo
 
Haya Mambo yanamadhara Sana ya kuhusisha wanasiasa katika michezo

Binafs sjawah kuwaamin taifa stars linapofka suala la kuamua matokeo
 
Back
Top Bottom