Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawa kila jambo siasa!kichwa cha mwendawazimu
Beni, Kivu Kaskazini huko ni suala la waasi (ADF, M23, Lord Resistance, nk) dhidi ya wakongo. Wakongomani wako pamoja dhidi yao.
Kwetu ni serikali yaani Sirro, Kingai, Sabaya na binamu zao dhidi yetu.
Siyo siri umoja wetu kama watanzania haupo tena.
Mshikamano haupo tena
Hii mutu hatari sanaKwenye benchi la Congo kuna Arthur Masuaku anayekipiga West Ham
Kama unaumia kwa ajili ya taifa stars basi una moyo mlaini ,mbona tushawazoea we unaliajeNdo hivyo.
Mpira ushaisha
Ni huzuni
Ni majonzi
Ni karaha
Ni maumivu
Kapombe kazeekaKazi sana kumfundisha mpira mtu mzima
Ameshakuwa mzee64' Kapombe almanusura atugharimu
Ccm 0 Drc 3Hata Mimi mgeni.
@Moderator umewezaje kupata ujasiri wa kuunga uzi huu ?Wiki nzima kabla ya mechi ya Stars na DRC kulikuwa na pilikapilika za ofisi ya Waziri Mkuu kuhangaika na ahadi kedekede kwa Stars ikiwa watashinda game hii , INAFAHAMIKA MADHARA ya ahadi kama hizi kuelekea kwenye mechi muhimu kama hii , Matokeo yake ni tensheni ya kufa na kupona huku wachezaji wakiwaza ahadi walizopewa tu .
Iko haja sasa kwa TFF kudhibiti wanasiasa uchwara wanaotafuta umaarufu kupitia timu ya Taifa huku wakifahamika kwamba kwenye enzi zao hawakuwahi kupiga danadana hata mbili , wanaua morali ya wachezaji .
Kufungwa wakati mna nafasi na matumaini ya kupita hakuzoeleki boss. Kama ndo ulaini wenyewe wa moyo basi upo sawa.Kama unaumia kwa ajili ya taifa stars basi una moyo mlaini ,mbona tushawazoea we unaliaje
Naunga mkono hoja....Kufungwa wakati mna nafasi na matumaini ya kupita hakuzoeleki boss. Kama ndo ulaini wenyewe wa moyo basi upo sawa.
Ulozi huo....Ccm 0 Drc 3