Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Sipendi kuangalia mpira wa stars leo nimejikakamua kuangalia nikaona Kuna wachezaji wawili mmoja Anaitwa Bwana Samatha ,anapokea mpira vizuri anapiga pasi vizuri ,ana fanya dribling anakaa kwenye zone

mwingine ni Novatus Lufunga anapiga pasi za mbele anautulivu wa hali ya juu anapokonya mpira wahat a player .kiufupi tupeleke wachezaji nje ya africa science ya mpira bado sana kwetu,

wachezaji wetu wazuri kama Fei toto ni wazuri kwa league za ndani ni sawa na kumpatia kijana wa form four mtihani wa third year chuoni
 
Aya tunaposema Congo ni level nyingine muwe mnaelewa .Aya Qatal tutapasikia tu labda twende Kwa Zulu natal😅
 
Tanzania kila kitu wanataka tu walete siasa, ngoja tuendelee kuchagua timu za kushangilia World Cup, mimi safari hii nitakuwa England na Agentina.... Wewe je utakuwa wapi?
 
Sipendi kuangalia mpira wa stars leo nimejikakamua kuangalia nikaona Kuna wachezaji wawili mmoja Anaitwa Bwana Samatha ,anapokea mpira vizuri anapiga pasi vizuri ,ana fanya dribling anakaa kwenye zone ,mwingine ni Novatus Lufunga anapiga pasi za mbele anautulivu wa hali ya juu anapokonya mpira wahat a player .kiufupi tupeleke wachezaji nje ya africa science ya mpira bado sana kwetu,wachezaji wetu wazuri kama Fei toto ni wazuri kwa league za ndani ni sawa na kumpatia kijana wa form four mtihani wa third year chuoni
Novatus Lufunga 🥲🥲🥲
 
Benin ana points 10 DRC 8, kwa hiyo game ya mwisho DRC vs Benin matokeo yoyote yanainyima stars kufuzu.DRC akishinda anakuwa na 11, Benin akishinda anakuwa na 13, ikiwa draw DRC anakuwa na 9 Benin 11. Kwa hiyo safari imefika tamati.
Kwa hiyo hamna sababu ya kwenda madagascar na boeing au sio...wapande propeller tuu
 
Benin ana points 10 DRC 8, kwa hiyo game ya mwisho DRC vs Benin matokeo yoyote yanainyima stars kufuzu.DRC akishinda anakuwa na 11, Benin akishinda anakuwa na 13, ikiwa draw DRC anakuwa na 9 Benin 11. Kwa hiyo safari imefika tamati.
Nashangaa watu wanashindwa kuelewa hesabu ndogo kama hiyo. Imeisha hiyo.
 
Kwa heri mwalimu....vijana vijana waandaliwe sasa tujenge timu ya muda mrefu kuna academy zinazalisha wachezaji wachukuliwe hata kumi wapelekwe academy za kidunia kwa hizo bil 1.6 ziendeleze vipaji vipya kwa ajili ya baadae.
 
Back
Top Bottom