Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Kufungwa stars huwa najisikia km nimetua mzigo mzito.

Burudani yoyote nikishaona wanasiasa wameingia basi huwa naichukia. Upuuzi kila kitu kinafanywa mtaji wa siasa.

Acha wachezaji wetu watulie kwenye klabu zao ligi iendelee.
 
Kesi haijafika mwisho....

Hapo unayo hukumu yake?!!!!
 
Faida ya wachezaji kukipiga ligi kubwa na nzuri inaonekana,sisi huku wanasubiri Hadi mtu au watu wapate mafanikio ndo wapongezwe wakati haya Mambo yanaanzia nyuma kabisa huwezi kukimbia wakati hata kutembea huwezi,Yani tunajipa ndoto nzuri wakati hatukuziandaa haiwezekani kabisa ufanikiwe kisoka bila kuwa na mikakati sahihi Kama serikali na mashirikisho yetu ya soka,Bora kabisa hao Kongo wametupiga ili Basi nao wakutane na wa saizi yao sisi hata rwanda Nina wasiwasi kuwa hatumfungi...lakini tunahitaji watu kweli wakufanya vitu vizuri...
 
@Moderator umewezaje kupata ujasiri wa kuunga uzi huu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…