Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nakupongeza.Hii mechi Tanzaniana inshinda, mm ni mganga wa kienyeji, nimeshafanya yangu, baadae msiache kunipongeza
Kwani timu za jeshi hadi sasa nchi hii zinarekodi gani ya mafanikio?Magufuli alitaka kukabidhi Taifa Stars kwa JWTZ watu tukamuona mjinga, sasa naona umhimu wa kuyapitia mawazo yake.
Zile topolo hazionekani humoTuwe serious hawa jamaa wametuacha
HII NDO FIRST ELEVEN ya DRC Congo iliyocheza dhidi ya Taifa Stars...
Kwa Mara ya Kwanza sijasikitika kutolewa kwa Stars...tunao uongozi wa hovyo SanaBenin ana points 10 DRC 8, kwa hiyo game ya mwisho DRC vs Benin matokeo yoyote yanainyima stars kufuzu.DRC akishinda anakuwa na 11, Benin akishinda anakuwa na 13, ikiwa draw DRC anakuwa na 9 Benin 11. Kwa hiyo safari imefika tamati.
Inonga na Mugalu au??Zile topolo hazionekani humo
Gael Kakuta anachezaje Chelsea U20 cheki upya rekodi zakoTuwe serious hawa jamaa wametuacha
HII NDO FIRST ELEVEN ya DRC Congo iliyocheza dhidi ya Taifa Stars
Amewahi kucheza kipndi hicho now yupo Lens ya UfaransaGael Kakuta anachezaje Chelsea U20 cheki upya rekodi zako
Kwan kocha maximo ana fundisha timu gan kwa sasaUvi uyu kocha wa National team akifukuzwagwa Tanzania anaendaga kufundisha wapi?
Kwaiyo unataka kusema?
Hatujui wakitoka Tz wanaenda kufundisha mpira tena au Wana kwenda kufanya siasa huko makwaoKwaiyo unataka kusema?