Tanzania 1 - 0 Afrika kusini, yatinga nusu fainali

Tanzania 1 - 0 Afrika kusini, yatinga nusu fainali

Half nzima upande wa kulia ni bango and then lina blink vibaya color zake wengine wabovu wa macho

Screenshot_2017-07-02-19-05-02.png
 
Tz inaongoza ugenini!!! makubwa haya!!!

Nimesoma mchoro wa masudi kipanya wa leo kuhusu watz kugombania kulipa kodi!!! akidai kama imefikia hatua hiyo basi mwisho wa dunia umekaribia, sasa inabidi nahapa nishangae kuona Tz inaongoza ugenini!!!
 
Tz inaongoza ugenini!!! makubwa haya!!!

Nimesoma mchoro wa masudi kipanya wa leo kuhusu watz kugombania kulipa kodi!!! akidai kama imefikia hatua hiyo basi mwisho wa dunia umekalibia, sasa inabidi nahapa nishangae kuona Tz inaongoza ugenini!!!
Mkuu ni karibia na sio kalibia
 
Ipo sawa now japo quality tu ndio mjitahidi. Mtangazaji anasema Tanzania ipo week four game kwa wiki moja si mchezo
 
Ipo sawa now japo quality tu ndio mjitahidi. Mtangazaji anasema Tanzania ipo week four game kwa wiki moja si mchezo
Bado tunaboresha na ndio tupo kwenye majaribio ya hiyo channel, kwa siku za mbele mambo yatakuwa poa zaidi
 
Dk ya 72 Elais Maguli anapata kadi ya Njano
 
Hii robo saa iliyobaki ikiisha salama sijui.....
 
Back
Top Bottom