Tanzania 1 - 0 Afrika kusini, yatinga nusu fainali

Tanzania 1 - 0 Afrika kusini, yatinga nusu fainali

Nimependa sana Elias Maguli kahojiwa kingereza yeye kajibu kiswahili.. watatafsiri wenyewe..
Anadumisha uzalendo, mila na desturi ya Tanzania. Big up Elias Maguli. Kwanza umetatangaza nchi na pia umekuza lugha ya taifa. Tatu ameepusha mengi. The na so za Wolper zingekuwa nyingi. For instance you know, you know this.........!!! Utaifa kwanza mengine baadae
 
Tz inaongoza ugenini!!! makubwa haya!!!

Nimesoma mchoro wa masudi kipanya wa leo kuhusu watz kugombania kulipa kodi!!! akidai kama imefikia hatua hiyo basi mwisho wa dunia umekaribia, sasa inabidi nahapa nishangae kuona Tz inaongoza ugenini!!!
Hahaa haaaa ... wa TZ wagombania kulipa kodi?!!
 
8634d8934c3d1c44b9dc9a5f1fc8be7c.jpg



Supersport inatizamwa na nchi nyingi sana hivyo macho ya maalfu ya watu jana ilikuwa inaitizama Tanzania. kitendo cha Maguri kuongea Kiswahili kwenye mahojiano yale ya kiingereza katuvua nguo na kutuaibisha WaTanzania..atuombe radhi
 
8634d8934c3d1c44b9dc9a5f1fc8be7c.jpg



Supersport inatizamwa na nchi nyingi sana hivyo macho ya maalfu ya watu jana ilikuwa inaitizama Tanzania. kitendo cha Maguri kuongea Kiswahili kwenye mahojiano yale ya kiingereza katuvua nguo na kutuaibisha WaTanzania..atuombe radhi
Akili zako mbovu sana
 
8634d8934c3d1c44b9dc9a5f1fc8be7c.jpg



Supersport inatizamwa na nchi nyingi sana hivyo macho ya maalfu ya watu jana ilikuwa inaitizama Tanzania. kitendo cha Maguri kuongea Kiswahili kwenye mahojiano yale ya kiingereza katuvua nguo na kutuaibisha WaTanzania..atuombe radhi
Acha ujinga Fikiria kwa ubongo usitumie kalio
 
Jamani baada ya Taifa Stars kuibandua Bafana Bafana, umeyasikia maoni ya mashabiki?

Baadhi yao wameandika hivi:

sam_sundawana12 hours ago

''Under no circumstances we should lose to a non football nation like Tanzania. No disrespect to them but we got no business losing to them.''

MOLOI aka YELLOW Phythagoras15 hours ago

''But really beaten by Tanzania,in our home soil..our pride is on stake here.''

Maneno yao, umeyasikia, maneno yaooo!!!

Fuatilia hapa:

Match report COSAFA Castle Cup quarter-final South Africa vs Tanzania
 
Jamani baada ya Taifa Stars kuibandua Bafana Bafana, umeyasikia maoni ya mashabiki?

Baadhi yao wameandika hivi:

sam_sundawana12 hours ago

''Under no circumstances we should lose to a non football nation like Tanzania. No disrespect to them but we got no business losing to them.''

MOLOI aka YELLOW Phythagoras15 hours ago

''But really beaten by Tanzania,in our home soil..our pride is on stake here.''

Maneno yao, umeyasikia, maneno yaooo!!!

Fuatilia hapa:

Match report COSAFA Castle Cup quarter-final South Africa vs Tanzania
hehehehe wasauzi wametokwa na povu
 
Back
Top Bottom