fablo can
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,223
- 1,267
Anadumisha uzalendo, mila na desturi ya Tanzania. Big up Elias Maguli. Kwanza umetatangaza nchi na pia umekuza lugha ya taifa. Tatu ameepusha mengi. The na so za Wolper zingekuwa nyingi. For instance you know, you know this.........!!! Utaifa kwanza mengine baadaeNimependa sana Elias Maguli kahojiwa kingereza yeye kajibu kiswahili.. watatafsiri wenyewe..