Ngoja nikupe connection yake.........! Fedha za Mafisadi, tu haziwezi kuwa na impact kny GDP kama wakizitumia hukohuko nje ya TZ......lakini wakiagiza ma VOGUE, BENZ, HUMMER & Other machinery....zikipita bandarini wanlipia kodi karibia 60% ya CIF......!
Pili, wale mafisadi wanaozidungua hapa hapa TZ, wanajenga majumba huko masaki, O/bay etc au wanafanya masherehe, au wanatanua kny viwanja vikali au wanafanya shopping za nguvu.....huko kote kuna tax implication ambayo inapitia kny vifaa vya ujenzi, mafuta, vyakula, nguo etc etc!
So kwa vyovyote vile, pesa za ufisadi zina impact kny GDP mkuu!