Yaani asubuhi tu mnashtukizia jwtz wanakunywa chai ikulu ya Kenya hahaaaaaaaa na kenyataThis would be a walk-over.
Tanzania is too small for Kenya.
Tujipe moyoEast Africa nchi pekee yenye uwezo wa kuhimili angalau kidogo vishindo vya Tanzania ni Uganda tu
ndio maama hao wengine wanalalamika saana lkn action ziro
Sent using Jamii Forums mobile app
wale majenerali wote wa uganda akina marehemu james kazini na akina muhoozi kainerugaba wamefundishwa monduli chini ya majenerali wetu hodari gidion sayore,mirisho sarakikya,hashim mbita na wengineo.East Africa nchi pekee yenye uwezo wa kuhimili angalau kidogo vishindo vya Tanzania ni Uganda tu
ndio maama hao wengine wanalalamika saana lkn action ziro
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yenu muoga
Mbona mtwara hajaiweka katika taarifa wakati alisema yule mkuu wa wilaya ya mtwara aliyefariki ni covid!?
acha kuongelea suala la ndege unafanya niwaze familia zinasomesha watoto wao mpaka kuwa marubani alafu simple tu wanatunguliwaKenya hii hii kunguru ianze na Ethiopia kwanza juzi wametungua ndege yao huko Somalia!
Jamaa yenu muoga
Hawezi kuongoza mapambano ya vita ya aina yoyote ile