NICO2018
Member
- Aug 1, 2018
- 6
- 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asaiv dreamliner ndo habari ya mjini bro..watu tulikua tunasoma zamani bila kujua kama tutapata kazi wapi, Lakin sasa mzee magu katutoa kimaso maso, Katuletea dude na hayo madude watanzania lazima tufanye kazi ndani yake na lingine linatua mwezi wa 11Wanafunzi mliokaa nyumbani kwa kukosa kazi?
Ninyi si wanafunzi ? Huko nyumbani mlikuwa mnafanya nini? Badala ya kuwa shuleni.
Halafu mnataka kazi wakati ninyi ni wanafunzi,
Enhee mkuu wa chuo ndio mtoa ajira?
Dream liner zinahusiana vipi na chuo chenu,
Hebu jibu hayo maswali mkuu
Binadamu bila siasa huwezi kuishi, Siasa hujenga barabara, mahospitali, mashule, HUnunua Ndege n.k Humu ndani tunapashana habari tu ni bora tusemezane maana watanzania tumezoea kulalamika badala ya kuchukua hatua tutashtukia dreamliner inaendeshwa na wakikuyu, wakamba, karenjini, maana majirani zetu hapo juu wanaumia sana kuona tuna madude ya maana kama dreamliner.NOvember linatua tena dude jipya.Mtoa mada inaoneka ana taarifa nzuri tu ya kutihabarisha,
Tatizo ana mahaba ya kisiasa ambayo anachanganya na masuala ya kitaaluma
Hebu Tueleweshe,Asaiv dreamliner ndo habari ya mjini bro..watu tulikua tunasoma zamani bila kujua kama tutapata kazi wapi, Lakin sasa mzee magu katutoa kimaso maso, Katuletea dude na hayo madude watanzania lazima tufanye kazi ndani yake na lingine linatua mwezi wa 11