Tanzania bado imekaza kamba kuhusu KQ

You dont know anything about airlines. infact I Doubt you have ever been more than 3 meters above ground
Says you, reporting from Tandale. Maybe I always swam all the way to and from Belize, where I had been living, with my small clan, doing business and working for months on end before the pandemic. A mona aunque se vista de seda, mona se queda. Hijo de las mil putas cabrón!
 
Hehehe!!povu kweli kweli
 
Jombaa, ikiuma sana unaweza pia ukajitia kitanzi. 😀
 
Mlikurupuka, ndo mkome sasa!
 
 
Nugu huwa uko na ujinga mwingi??

Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
 

Those are just wishful thinking.
😛 😛 😛
 
We we we ilifafanuliwa kuwa siyo KQ ni washirika tu ambao itabidi muwalipe pesa kuleta wateja wenu. Tunaita kufaulisha. Tangu siku hiyo kila siku naangalia arrival list, hakuna cha KQ kwenye list.

Mpaka tumalize uchaguzi dec 28 tutakaa kufikiria omboli lenu babu
 
Piga spana. Na tangu siku hiyo huo uchafu wao sijauona tena. Maana yeke wasafiri walikuwa hawajajua game ikoje, unakata tiketi ya KQ hafu unafaulishwa to KLM, nani avumilie ujinga huo? So wameanza kubook kwa ndege zinazoingia nchini bila vikwazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…