Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Kutua kwa ndege za Kenya nchini Tanzania sasa ni kitendawili..
Kutua kwa ndege za Kenya nchini Tanzania sasa ni kitendawili.
19 August 2020 Maximillah Welukhu 0 Comments
Tanzania imekaa kimya kuhusu Kenya kuanza tena safari zake za ndege nchini humo ikiwa ni zaidi ya siku 19 baada ya serikali kutangaza kuwa imeafikia makubaliano.
[http://pwanifm]
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Angani ya humu nchini (KCAA), Gilbert Kibe amesema wanangojea tamko kutoka nchini Tanzania na kuelezea matumaini yake kuwa matokeo yatakuwa mazuri.
Mamlaka ya Usafiri wa Angani ya Tanzania(TCAA) mnamo Julai 30 ilifuta mipango ya kuruhusu ndege za Kenya Airways kutua nchini humo ikidai kutengwa kwa Tanzania kwenye orodha ya nchi ambazo raia wake wangeruhusiwa kuingia Kenya chini ya vikwazo vilivyolegezwa kupambana vya kupambana na virusi vya corona.
Kutua kwa ndege za Kenya nchini Tanzania sasa ni kitendawili.
19 August 2020 Maximillah Welukhu 0 Comments
Tanzania imekaa kimya kuhusu Kenya kuanza tena safari zake za ndege nchini humo ikiwa ni zaidi ya siku 19 baada ya serikali kutangaza kuwa imeafikia makubaliano.
[http://pwanifm]
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Angani ya humu nchini (KCAA), Gilbert Kibe amesema wanangojea tamko kutoka nchini Tanzania na kuelezea matumaini yake kuwa matokeo yatakuwa mazuri.
Mamlaka ya Usafiri wa Angani ya Tanzania(TCAA) mnamo Julai 30 ilifuta mipango ya kuruhusu ndege za Kenya Airways kutua nchini humo ikidai kutengwa kwa Tanzania kwenye orodha ya nchi ambazo raia wake wangeruhusiwa kuingia Kenya chini ya vikwazo vilivyolegezwa kupambana vya kupambana na virusi vya corona.