white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Na watu kama nyie ndio mliotufikisha hapa!! Kushabikia ujinga tu wewe timu gani kila michuano hakuna lolote timu nchi kama lesotho nayo ni ya kutusumbua hivyo?? Ligi yetu ya kimagumashi lazima timu ya taifa nayo iwe ya kimagumashi tu huo ndio ukweli mchungu na usimba na uyanga ndio sumu ya soka letu.Ingia wewe kwenye timu ya taifa ili utufungie mabao mengi shenzy type mibongo kwa lawama.