Tanzania bans three more Kenyan airlines over COVID-19 protocols

Mkuu Wakenya wangekujua kwa sura lazima wangekutafuta popote ulipo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu Wakenya wangekujua kwa sura lazima wangekutafuta popote ulipo [emoji3][emoji3][emoji3]
Wangenichinja siku hiyo hiyo, ninawajua vizuri sana hao watu, ni makatili kushinda alshabaab, wana roho mbaya kama wanauza sumu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kama nawaona na ka Equit bank kenu....ndo maana niltoe ela zangu zote
 
Sawa
 
huyu mzee atakufa na stress bure tu. hana akili kabisa. sasa dar is slum na zanzi bar si zitakuwa upungufu wa watalii?
Watatumia ethiopean kuja badala kupitia k2enu,ni wazi mtakosa revenue
 
Yanakutoka tu hebu tufanye ukaguzi wa kina kuhusu Kadi za uraia za Tanzania ndio utajua wakenya wangapi wanazo halafu unadanganya watu hapa mmejiandaa, wadanganye wengine sio Mimi narudia tena sio mimi. Nakwambia hivi Mimi Kadi ya Kenya hata bure sichukui
 
mkuu, mtalii sio lazima awe ngozi nyeupe. hata mimi naweza kuwa mtalii katika nchi yenu masikini na kulipa hela ndefu na kukusababishia wewe na wenzako kula, kunywa na kuenda chooni. tumia akili kidogo
Uje utalii kipindi cha Corona baki kwenu [emoji44][emoji44]
 
Hayo ni mawazo yako mtani mlizoea kuonewa huruma, mkifanya kiburi mnasamehewa sasa akili ziwakae na bado
 
We hivi unayo akili kweli? Hani ndege ya Kenya kutokuja TZ aumie mlala hoi wa Taz na wakati huo kumbuka asimu wenu Ethiopia anapiga kazi tu na Rwanda
Kwa hiyo ule msemo wa kufa kufaana unafanya kazi [emoji2][emoji2][emoji2]
 

Wewe huna haja ya kuchukua kadi ya Kenya maana umekwama hapo Buza kwamba hata Dar yenyewe huna jeuri ya kuweza kuitoka.
 
Lazima utakua jaluo wewe kwa hizi pumba zako unavaa suti koti limechanika mgongoni
 
Ndio mjiandae kufa kwa njaa hamna adabu na baba zenu nyie
 
Ndio mjiandae kufa kwa njaa hamna adabu na baba zenu nyie

Mbona sio mara ya kwanza kufungiana na nyie, kuna kipindi tuliwachoka tukafungiana kila mtu akakaa kwake tena ikawa kama korea Kaskazini na Kusini, hamna hata panya aliruhusiwa kupita.
Kama mahindi tunanunua kwa hela zetu maana tunazo, tena tunaagiza hata kutoka Brazil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…