Naona nimekukamata mkuu ππ hapa hutoki!blablabla.
Kuna methali hutumiwa na watu wa jamii yangu husema nikubalie niiweke kwa kiswahili "Mtu ambaye hajasafiri sana hajui kuna mpishi bora kuliko Mamake" ataishi kusifia chakula cha kwao ilhali cha kwingine bado hajala. Tafakari mwenyewe mkuu ππmbona nimetoka, nipo outside. [emoji16][emoji16]
kawaida sanaKuna methali hutumiwa na watu wa jamii yangu husema nikubalie niiweke kwa kiswahili "Mtu ambaye hajasafiri sana hajui kuna mpishi bora kuliko Mamake" ataishi kusifia chakula cha kwao ilhali cha kwingine bado hajala. Tafakari mwenyewe mkuu [emoji12][emoji12]