tanzania billionaire said salim bakhresa is on another level. he is feeding south africa.

tanzania billionaire said salim bakhresa is on another level. he is feeding south africa.

Kwani Bakhresa aliwazawadia nini wa Azam Fc baada ya kuchukua FA!!???
hataki sifa za kijinga kama Mo.
ndio maana hajatangaza zawadi aliyotoa kwa azam fc. mambo yake kimyakimya.
 
mbona nimetoka, nipo outside. [emoji16][emoji16]
Kuna methali hutumiwa na watu wa jamii yangu husema nikubalie niiweke kwa kiswahili "Mtu ambaye hajasafiri sana hajui kuna mpishi bora kuliko Mamake" ataishi kusifia chakula cha kwao ilhali cha kwingine bado hajala. Tafakari mwenyewe mkuu 😜😜
 
Kuna methali hutumiwa na watu wa jamii yangu husema nikubalie niiweke kwa kiswahili "Mtu ambaye hajasafiri sana hajui kuna mpishi bora kuliko Mamake" ataishi kusifia chakula cha kwao ilhali cha kwingine bado hajala. Tafakari mwenyewe mkuu [emoji12][emoji12]
kawaida sana
 
Back
Top Bottom