Tanzania Black Friday ya nini?

Tanzania Black Friday ya nini?

Hilo punguzo la bidhaa ni kwa Wamarekani tu au ni hata mimi mbongo nikitaka kununua kitu Amazon nalipata? Kama nalipata kwa nini nisiherekee. Kuna ubaya gani CRDB tembo card wakiniwezesha "Kulisherehekea?"
 
Hiyo black friday mimi ndio naisikia leo wajameni.

Mashikolo mageni
 
Hahahaaa.... Naomba ukumbuke kwenu, karibu Usukumani.
What do you know about that?

IMG_5134.jpeg
 
Jana tarehe 23, Novemba 2023 ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving nchini Marekani.

Kama hujui sikukuu hiyo ina maana gani huko Marekani, zama Google au YouTube [zote hizo ni kampuni za Kimarekani 😉 🇺🇸] ufute ujinga.

Thanksgiving huwa ni siku ya Alhamisi ya mwisho ya mwezi Novemba kila mwaka.

Siku ifuatayo, yaani Ijumaa, huwa inajulikana kama Black Friday.

Black Friday ni siku ambayo madukani kunakuwepo na mapunguzo makubwa ya bei za vitu/ bidhaa.

Zamani kabla ya masoko ya mtandaoni hayajaenea na kuzoeleka, watu walikuwa wanaenda kupiga kambi kabisa nje ya maduka kama Best Buy ili kuwahi kuwa wa kwanza kuingia madukani humo pindi milango inapofunguliwa.

Ilikuwa ni vurugu sana. Watu walikuwa wanapigana. Wengine walikuwa wanakanyagana hadi kuuana kabisa.

Siku hizi hakuna sana hizo vurugu maana manunuzi watu wanafanyia kwenye mitandao.

Sasa cha kushangaza, eti hata Tanzania leo ni Black Friday!

View attachment 2823288

Ina maana Tanzania nako wanasherehekea Thanksgiving siku hizi?

Wameanza lini kusherehekea sikukuu za Marekani? Na July 4th nayo wanaisherehekea?

Kubalini, kataeni, chukieni, oneni wivu, jibamizeni ukutani, mwisho wa siku Marekani ndo taifa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya uhai!

Kama mnaiga hata black Friday, basi Marekani imewakamata panapo vizuri sana.

🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Wewe no platnum member ungejaribu ku think deep juu ya haya mambo!!


Wewe hujui Kila sherehe iliyopo kwenye ulimwengu huu Ina maana yake upande was kiroho was pili na upande huo ninmmoja kama yalivuo makanisa ni mbalio mbali lakini yote yana ulimwengu was kiroho unaofanana!!?

Mi nadhani hiyo Black ipo kiroho zaid na inasherehekewa kimwili huku duniani!!!


Kuna connection ya ulimwengu was kiroho unaotawala nchi yetu na huo unaotawala hayo mataifa makubwa!!

Think deep
 
Hiyo Black Friday ipo na kwenye maduka ya akina Mangi?
Na christmass ni sherehe ya wamarekani au warumi?

Kwa huyo tusisherekehe christmass kwa kuwa wanaazimisha Vaticano

Huna hoja mkuu?

Zile sherehe za mtoto duniani zinazosherekewa zilianzia marekani au Africa ya kusini?

Pasaka nayo ilianzia wapi?kwa hiyo Tanzania wasisherekehe

Huna hoja ,Umekurupuka mkuu
 
Siyo suala la jina tu!

Angalia timing yake.

Angalia siku ya leo inaitwaje huko Marekani.

Angalia historia ya Thanksgiving na Black Friday.

Jana Tanzania ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving?

Na kwa nini nyinyi wala vumbi muiite siku ya punguzo la bei za bidhaa madukani ‘black Friday’?

Mmekosa rangi ingine ya kuiita ya kwenu?
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana mkuu

Kuna sherehe ngapi zinaadhimishwa duniani na hazikuanzia Marekani

Marekani wanaazimisha Ijumaa kuu au GoodFriday walianzisha wao?

Marekani anafuata calenda ya Gregory,Gregory ni Mmarekani?Gregorian calender wanayotumia marekani si waanzishe ya kwao

Sherehe za Mwaka mpya au New year zilianzishwa Marekani?

Uwe unatumia akili kufikiri mkuu
 
Jana tarehe 23, Novemba 2023 ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving nchini Marekani.

Kama hujui sikukuu hiyo ina maana gani huko Marekani, zama Google au YouTube [zote hizo ni kampuni za Kimarekani 😉 🇺🇸] ufute ujinga.

Thanksgiving huwa ni siku ya Alhamisi ya mwisho ya mwezi Novemba kila mwaka.

Siku ifuatayo, yaani Ijumaa, huwa inajulikana kama Black Friday.

Black Friday ni siku ambayo madukani kunakuwepo na mapunguzo makubwa ya bei za vitu/ bidhaa.

Zamani kabla ya masoko ya mtandaoni hayajaenea na kuzoeleka, watu walikuwa wanaenda kupiga kambi kabisa nje ya maduka kama Best Buy ili kuwahi kuwa wa kwanza kuingia madukani humo pindi milango inapofunguliwa.

Ilikuwa ni vurugu sana. Watu walikuwa wanapigana. Wengine walikuwa wanakanyagana hadi kuuana kabisa.

Siku hizi hakuna sana hizo vurugu maana manunuzi watu wanafanyia kwenye mitandao.

Sasa cha kushangaza, eti hata Tanzania leo ni Black Friday!

View attachment 2823288

Ina maana Tanzania nako wanasherehekea Thanksgiving siku hizi?

Wameanza lini kusherehekea sikukuu za Marekani? Na July 4th nayo wanaisherehekea?

Kubalini, kataeni, chukieni, oneni wivu, jibamizeni ukutani, mwisho wa siku Marekani ndo taifa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya uhai!

Kama mnaiga hata black Friday, basi Marekani imewakamata panapo vizuri sana.

🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Hata UK kuna Black Friday. Hapo unasemaje mkuu?
 
Sasa hawa CRDB wamenitumia ujumbe wa Black Friday ya wapi?

[emoji1787][emoji1787]
Wewe kama unaamini Christmass ni ya warumi basi waambie watu wote duniani wasipumzike na uanzishe siku yako mwenyewe

Kama BlackFriday ni ya wamarekani pekee yao basi waambie CRDB wasikutumie sms au hama Bank,Kuna Bank nyingi sasa Tanzania
 
Back
Top Bottom