Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie naenda kwa MASTER TESTERNipita hapo kwa walinzi, niseme naenda wapi IT au?
Upo sahihi mkuuuWatu wa kaskazini ndio wanywaji beer nchini sasa unataka wapewe wanywa ulanzi na gongo?
Wanyakyusa mmekomaa na kwaya tu ndo maanaHilo nilikuwa naliwaza Sana kitambo
Nilifanya kautafit kangu kadogo pale ilala nukagundua haya
Aliyepo kwenye kitengo Cha marketing n mkaskazini hvyo n ngumu Sana kwa mgogo Kama jobu kupata deals za tbl
Sasa wale wanaongea lugha 1 ile 10% inagawika vizuri bila kwere
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wachaga hao haina ubishi nasikia na pale BOT mpaka mfanya usafi ni mchaga.
Tatizo lenu mna chuki Binafsi Husda na Roho Mbaya.... Kichwan mmeshajijengea Ubaguzi Baguzi tuu ivyo ni Ngumu kuwaza tofauti
Bosi wangu kuwaza hivyo wala haikusaidiii MkuuuMatangazo mengi ya beer za TBL wanapewa watu wa Arusha. Hii kitu imekua inaendelea kwa muda sasa. Castle Lite wanawapo deals Weusi (wasanii kutoka Arusha). G-nako alifanya nyimbo kufanya promotion ya beer ya Kilimanjaro na pia alipewa ubalozi wa beer ya Kilimanjaro. Castle Lite Unlocks ya South Africa walipelekwa Weusi na mabalozi wa Castle Lite ni Weusi. Adam Mchomvu (mtangazaji kutoka Arusha) pia ni balozi wa Castle Lite.
Mimi Mars (sio hata maarufu sana) amepewa ubalozi wa Flying Fish (kinywaji cha TBL) kwa sababu tu ni mtu wa Arusha. Kenedy the remedy mtangazaji kutoka Arusha ni mabalozi pia wa Flying Fish. Tatizo TBL ni nini?
Mbona Serengeti Breweries wao deals za matangazo wanawapa Watanzania wote kama tulivoona kwenye Guiness na Serengeti Lite.
Lakini %1 ya dar nisawa na 95% ya kilima njaro ukitumia idadi ya watuKaa kwa kutulia jamaa.View attachment 2071181
kunywa balimi aka wakulima in kisukuma.
Ni moja ya Makampuni ambayo siwezi kuomba kazi kutokana na Kujuana kuliko kithiri.TBL ni wabaguzi so kwenye matangazo tu mpaka ajira, wamejaa wajomba , baba mdogo , uncle, mke , wife , demu wangu . Ukienda pale unakuta vikundi vya kikabila vinaongea lugha moja.
Thubutu, ilala na kinondoni ndio zinaongoza kwa kula bia, ndio wanafata waarusha na moshiUpo sahihi mkuuu
Sasa ndugu yangu we mwenyewe unasema bia ni haramu then unataka tena kazi huko si utahakikisha bia hatuioni mtaani, wamepewa watu wanaopiga vyombo ili wafanye kwa ueledi, ni sawa na mtu ni Doctor of Medicine unamchagua kuwa waziri wa michezo si matumizi mabaya ya rasilimali watu hiyo?Hilo nilikuwa naliwaza Sana kitambo
Nilifanya kautafit kangu kadogo pale ilala nukagundua haya
Aliyepo kwenye kitengo Cha marketing n mkaskazini hvyo n ngumu Sana kwa mgogo Kama jobu kupata deals za tbl
Sasa wale wanaongea lugha 1 ile 10% inagawika vizuri bila kwere
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app