TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
- Thread starter
-
- #21
Tusiusmee moyo, yote yanawezekana. Nani alijua anaweza kuuza chama kwa FISADI? Nani alijua kuwa hakuwa analipa kodi kwa takribani miaka 20?Mbowe ni mtu makini hawezi kufanya Huu upuuzi. Huu ni uzushi mtupu!
Mbona mapovu? Nawe umetimuliwa Tanzania Daima nini?Wewe IQ yako ni ndogo sana mshkaji wangu kwa jinsi ulivyo inaonyesha maisha yako ya kubahatisha una mawazo sana ya kimaskini
Anawafundisha watu kazi.Naona JPM ameingia Tanzania Daima kiaina.Hapa kazi tu.......tehe tehe kubana matumizi dadadeki
Sio povu naona maada zako nyingi ni za kijinga jinga na ushabiki wa kimaskiniMbona mapovu? Nawe umetimuliwa Tanzania Daima nini?
Nimeambiwa uhuru kwasasa wako vizuri sana kiama kiko nyumbani kwenu Tanzania Daima.Hivi Uhuru walishalipwa mishahara yao......??? Just asking
Kama biashara haiendi namba kubwa ni kwa manufaa ya nani au ni sifa kujaza wafanyakazi wasioleta tija? CCM imepunguza watendaji na Uhuru pia imefanya hivyo hata serikali yetu imegoma kuajiri kisa pesa hakuna. Sasa mnataka Mbowe ndiye aliendelee kuwa na watu wasioleta tija kwenye kampuni?View attachment 454642
Kuna taarifa kuwa jana tarehe 04 Januari, 2017 Katika ofisi za gazeti la Tanzania Daima kulikuwa na patashika Nguo kuchanika. Kwa mujibu wa mdakuzi wa taarifa hii, chanzo cha patashika hiyo ilitokana na UKATA unaoukabila uongozi wa gazeti hilo, hali iliyopelekea Watumishi kutolipwa mishahara yao yapata miezi MITANO sasa. Habari zaidi zinasema mhariri Mkuu wa Tanzania Daima, Ndugu NEVILLE MEENA ametimuliwa kazi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuingiza wafanyakazi wengi wasiyo kuwa na tija kwa gazeti huku wakilipwa mishahara mikubwa.
Wakati huo huo Mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), FREEMAN AIKAELI MBOWE ametoa maagizo ya kuwatimua wafanyakazi wangine na kuwabakiza kumi na nne(14) tu.
mkuu Media kuingia kwenye taharuki unaliona jambo dogo na lisilo la muhimu?
mkuu Media kuingia kwenye taharuki unaliona jambo dogo na lisilo la muhimu?
mkuu Media kuingia kwenye taharuki unaliona jambo dogo na lisilo la muhimu?
mkuu Media kuingia kwenye taharuki unaliona jambo dogo na lisilo la muhimu?
Mwanahabarihuru kapona?mkuu Media kuingia kwenye taharuki unaliona jambo dogo na lisilo la muhimu?
Watu wanatimuliwa kazini anasema ni minor issue! Au kwakuwa inamhusu bosi wako Mbowe?narudia tens wandugu tushiriki kujadili mambo ya msingi yatakayotukwamua toka hapa tulipo,,tuachane na minor issues kama hizi
Ushasikia wanalalamika tena?Hivi Uhuru walishalipwa mishahara yao......??? Just asking
Kwahiyo unataka kutuambia kutumbua mtu sababu ya wafanyakazi hewa sio jambo la msingi?narudia tens wandugu tushiriki kujadili mambo ya msingi yatakayotukwamua toka hapa tulipo,,tuachane na minor issues kama hizi