Tanzania Daima mitaani kwa kishindo. Lema na Lissu kuwasili nchini hivi karibuni.

Kumbe lipo hewani hili gazeti la Sauti ya watu!.

Ndio maana Mama amepiga mkwara kwa kusema akikunwa vizuri nae atakupapasa ila akiandikwa vibaya ataparura haya Magazeti tishio.
 
Lissu atarudi ila Lema kamwe hawezi kurudi ana madeni ya benki makubwa mno akirudi watauza nyumba yake.
 
Mataga and co mupo....Majabali ya Nchi ndani KUMEKUCHA

Mapokezi ya KISHINDO kuandaliwa
 
Anafungasha virago na wenzake...
Kamati ya chama iwaondoe Bungeni japo inaweza kuwasamehe tu waendelee kuwa wanachama. Maana kwenye Siasa hakunaga adui wakudumu. JPM ndio aliekiumiza Chama
 
Sasa wataleta kishindo gani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…