ViciousRecklessSavage!!!
Senior Member
- Jun 23, 2007
- 105
- 1
the bottom line ni kwamba Masha kaongea NONSENSE!
haimaanishi kwamba ukiwa jasiri then huwezi kuongea nonsense. Chavez and/or Mugabe napenda ujasiri wa baadhi ya maamuzi yao.................however it does not stop them being criticized wakiongea pumba!!
the bottom line ni kwamba Masha kaongea NONSENSE!
haimaanishi kwamba ukiwa jasiri then huwezi kuongea nonsense. Chavez and/or Mugabe napenda ujasiri wa baadhi ya maamuzi yao.................however it does not stop them being criticized wakiongea pumba!!
What a bloody fool!! You must no doubt be one of those rare retards with a brain as thick as a piece of dough! Who are you to declare that Masha's statements are a bunch of 'nonsense'? What makes you think that only your opinion and/or interpretation is the one that's correct? And then as if on a cue, you have the audacity to accuse me of enforcing my views upon others (Yoursel included). Whatever Mr Masha said may sound as pure 'nonsense' to you but not necessarily so to many other people. It appears like you have a hsrd time accepting this most basic fact of life!
Your idiotic example (and indeed your whole reasoning) doesn't make any sense for the simple reason that it is counter-intuitional and replete with contradictions (put in other words, it's Bantu logic is all twisted up like the way Bantu logic is supposed to be)
Furthermore, since when did telling someone to 'shut up' pass for constructive criticism (or any civilized form of criticism at all for that matter?) Why not tell that person WHY and HOW whatever it is a a load of crap? But you need not answer this question for I think I already have the answer (simply because its harder to do so you see - it involves a a whole lot more brain effort than simply blurting out "SHUT UP!' and then walking away)
Nilitoa sababu kwanini nilisema Masha kaongea NONSENSE!............and that was my opinion as any one else could pose his/her opinion......sikum-force mtu yeyote kukubaliana na mawazo yangu............wewe kama uliona Masha kaongea sense ungejenga hoja kama walivyofanya wengine na sio kunifuata fuata................as if nilichokisema ni end of the World......no man this is not the end.......toa hoja ya kueleweka.....pengine waweza kunishawishi..........lakini sio kwa matusi................kama wewe ni Masha then nitakuelewa............tena karibu sana....hapa JF huwa haogopwi mtu
Kunitukana kunaonyesha ni jinsi gani ulivyokuwa na matatizo ya kiakili...............bipolar disorder could be the right way kuku-describe tatizo lako kwa jinsi ya uandishi wako..............again thats my opinion...............kwani wakati mwingine huwa unaandika sense but not this time....................
Watasubiri weeeee na migodi mingine itaanza kufungwa kwani uhai wake umefikia. Wanatubakizia mashimo tu - sijui tuyafanyie nini! Huko Mara kuna mgodi tayari kushnehi!!
Dr Peter Kafumu ni mtanzania mzaliwa wa Igungawho is Peter Kafumu.. na kwanini ni Kamisha wa Madini? how did he get there?
Dr Peter Kafumu ni mtanzania mzaliwa wa Igunga
exactly!!...........kwa kweli ni kichekesho...............yaani napata picha ya kwamba.............kuna watu wanatoa baraka ya kwamba mchango wa madini kwa pato la Taifa usiszidi certain percentage............in a way una-allow some %ges kufisadiwa!!!! simply because you see only 1.9% ndio halali yetu
Koba,
Mfano wewe ni Mmiliki wa kundi la Ng'ombe. Nikaja kwako nikakulaghai uniuzie majike na baadhi ya madume. Na kwa uelewa wako wa wakati huo ukakubali kukodisha kundi lote kwa sharti la kuwarejesha baada ya miaka kadhaa. Masharti haya hayakuangalia kurejesha pia vizazi vipya vitakavyozaliwa, maziwa na bidhaa za nyama au ngozi kwa wale watakaoshinjwa. Wewe utarejesha tu kundi kama ulivyolichukua!
Uhusiano wetu ukadumishwa na ikafikia mahali hata nguvu kazi yako hutegea kizazi changu. Bahati nzuri kila mwaka wake zangu hujifungua. Ila kwa bahati mbaya watoto wetu huathiriwa sana na kwashiokor na utapiamlo na hata kupoteza maisha. Kwako watambua umuhimu wa wanangu kama nguvu kazi yako. Na pia wajua fika haya si magonjwa bali ukosefu wa msosi. Kwa kuwa unao ng'ombe wangu wanaokupa maziwa mengi na watambua maziwa kama chanzo cha protein yatamaliza matatizo ya wanangu (nguvu kazi yako)ukaanzisha utaratibu wa kuchangi lita 4000 kila mwaka wake zangu wanapojifungua.
Sasa swali Bw. Koba; nani hapa anamtegemea mwenziwe na nani anamchangia mwingine?
Tuje kwenye hali halisi ya kinachotokea hapa Danganyika. Tuanze na mifano hai midogo midogo kuhusu wafadhili wa humu humu Republic of Danganyika. Rostam Aziz (King Creator)wakati akiwa mtu wa kawaida kabisa na karibu sawa na kabwela alichukua mikopo mingi toka Bank ya NBC. Enzi hizo ikiwa Chini ya Chama na Serikali na RA akiwa kama mpambe wa CCM. Huhitaji mpaka huoji kujua kwamba Mikopo ya Mabilioni ilitolewa kwa Vi-MEMO. Baadhi ya Fedha za mikopo hiyo ilikujatumika baadaye kununua Makampuni yaliyobinafsishwa kama Bora na Viwanda vingine. Viwanda vyote chini ya RA vimegeuzwa Godowns na Madeni ya NBC (Mtaji wa RA) haujawahi fuatiliwa. Alipomega sehemu za madeni haya akasaidia Chama akaitwa MFADHILI MKUU NA TENA AKAPEWA M/HAZINA CHAMA...!
Spain Master, Dalali Bingwa toka shule ya Kariakoo, namzungumzia Manji wa Quality Group alichukua bilion 6 akanunua jengo la PPF na ndani ya Miezi 12 akawauzia haox2 jengo lilex2, eneo lilex2 kwa bilion 43.2
Manji kwa kujua umbumbumbu wa TRA officers. Wakati wa kuleta machine za kuchezesha KITITA alipitisha Terminal fulani hizo machines free of tax. Waliloambiwa hawa vijana wa Danganyika ni kuwa hizo zilikuwa Screen za Computer ambazo kwa sheria ya miezi hiyo screen zilikuwa hazilipiwi ushuru. Thamani ya Mzigo uliopita ilikuwa yapata TShs. 300 milioni! Hadi leo naandika KITITA imechezeshwa mara nyingi, watu wamelambwa sana tu TShs. zao lakini la kustaajabisha hata mara moja mshindi hjawahi patikana. Na sasa hii kamri nasikia imepigwa marufuku. Wakina Koba walipopewa ofa CCM Kirumba wakamwita MFADHILI MKUU WA MICHEZO TANZANIA
Twende kwa wafadhili wa nje ya Danganyika. Nimepeni feelings zenu kama somo la juu linaleta mantiki kabla sijatoka nje ya Danganyika. Kisha nitaleta hii mada but in HAKUNA MLO WA MCHANA WA BURE Wafadhili daima wanarejesha sehemu ndogo sana ya jasho letu kwa jina la msaada, kuchangia n.k