made in tanzania_
Senior Member
- Mar 4, 2025
- 114
- 147
TUNACHOPIGANIA SASA;-
Serikali kwa kushirikiana na waekezaji wazalishe umeme wa megawatts 100,000 na zaidi ili kukuza maradufu Saughall za uchumi
Unit moja ya umeme iuzwe sh 50 kwa matumizi ya nyumbani, sh 25 kwa matumizi ya biashara kwa wale wenye leseni, tin number na mashine za efd, sh 15 kwa matumizi ya hospitali, shule na ofisi za serikali na sh 10 kwa matumizi ya viwanda
Serikali itafute waekezaji wajenge smelting zifuatazo kama njia ya kukuza viwanda na kuondoa umaskini Tanzania
Unit moja ya maji kuuzwa sh 400 mpaka 500
kupiga marufuku wale wanaouza maji na magari mitaani
Huduma za dialysis ziwe bure asilimia 100 kwa kila wilaya nchi nzima kwenye hospital za serikali
Tender zote za serikali za ujenzi wa miundombinu wapewe kipaumbele wazawa tofauti na sasa wazawa hawapewei kipaumbele mfano ujenzi wa miundombinu yote ya barabara na wapewe makampuni ya wazawa kama njia ya kuwajengea uwezo, na miradi mikubwa kama reli ya umeme serikali ifanye mkakati wa kuwajengea uzoefu.
Viwanda vya Tanzania viajiri wazawa kama kipaumbele kwenye core business tofauti na sasa vimejaza wageni huku watanzania waki-tretiwa kama watu wasio na thamani.
Shule za msingi za serikali kuongeza wigo wa masomo ya kingereza (english) na kuwa matatu nayo ni kingereza, hesabu kwa kingereza na science kwa kingereza huku kiswahili kikifundishwa masomo mawili kiswahili na uraia-hii haitawaacha nyuma watoto wa kimaskin kama ilivyo sasa kwamba kuna watoto wanamaliza msingi wakiwa na msingi mzuri wa lugha ya kingereza huku wengine wakiwa na msingi mbovu wa lugha ya kingereza na mitihani iwe sawa kwa shule za msingi za serikali na binafsi ambazo sio za kimataifa.
Serikali kutonunua magari ya kifahari kwa wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi na budget hio kuielekeza sehemu zenye uhitaji.
Kuanzisha mamlaka itakayohusika na upimaji wa makazi kama ilivyo TRA, tunapendekeza iitwe Tanzania agency of rural and urban planning (TARUP) itahakikisha watu wanajenga kwa kufuata mpangilio ili iwe rahisi kuwasambazia gesi majumbani, na huduma nyingine za kijamii na itakuwa na kazi zifuatazo;-
Tuna malengo ya kupigania Tanzania ili kuondoa umaskini unaosumbua kaya nyingi.
MAONO (Vision)
Kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.
NJIA YA KUFIKIA (Mission)
Kuzalisha umeme mwingi kama njia ya kukuza umeme
Serikali kwa kushirikiana na waekezaji wazalishe umeme wa megawatts 100,000 na zaidi ili kukuza maradufu Saughall za uchumi
Unit moja ya umeme iuzwe sh 50 kwa matumizi ya nyumbani, sh 25 kwa matumizi ya biashara kwa wale wenye leseni, tin number na mashine za efd, sh 15 kwa matumizi ya hospitali, shule na ofisi za serikali na sh 10 kwa matumizi ya viwanda
Serikali itafute waekezaji wajenge smelting zifuatazo kama njia ya kukuza viwanda na kuondoa umaskini Tanzania
- Mwekezaji asijenge tu kiwanda cha kuchimba gesi asilia (drilling) na refinery bali ajenge na kiwanda cha petrochemical
- Serikali itafute mwekezaji wa kujenga oil refinery kwa matumizi ya ndani na nje.
- Serikali itafute waekezaji wa kujenga smelting za chuma kwa matumizi ya ndani na nje
- Serikali itafute waekezaji wa kujenga smelting za copper kwa matumizi ya viwanda vya ndani na nje ya nchi
- Serikali itafute waekezaji wa kujenga smelting za aluminium kwa matumizi ya viwanda vya ndani na nje
- Serikali itafute waekezaji wa kujenga smelting glass kwa matumizi ya viwanda vya ndani na nje.
- Serikali itafute waekezaji wa kujenga viwanda vya karatasi vya awali (Paper and pulp).
- Serikali itafute waekezaji wa kujenga smelter za semiconductor na PCB fabricated kwa matumizi ya viwanda vya ndani na nje.
kupiga marufuku wale wanaouza maji na magari mitaani
Huduma za dialysis ziwe bure asilimia 100 kwa kila wilaya nchi nzima kwenye hospital za serikali
Tender zote za serikali za ujenzi wa miundombinu wapewe kipaumbele wazawa tofauti na sasa wazawa hawapewei kipaumbele mfano ujenzi wa miundombinu yote ya barabara na wapewe makampuni ya wazawa kama njia ya kuwajengea uwezo, na miradi mikubwa kama reli ya umeme serikali ifanye mkakati wa kuwajengea uzoefu.
Viwanda vya Tanzania viajiri wazawa kama kipaumbele kwenye core business tofauti na sasa vimejaza wageni huku watanzania waki-tretiwa kama watu wasio na thamani.
Shule za msingi za serikali kuongeza wigo wa masomo ya kingereza (english) na kuwa matatu nayo ni kingereza, hesabu kwa kingereza na science kwa kingereza huku kiswahili kikifundishwa masomo mawili kiswahili na uraia-hii haitawaacha nyuma watoto wa kimaskin kama ilivyo sasa kwamba kuna watoto wanamaliza msingi wakiwa na msingi mzuri wa lugha ya kingereza huku wengine wakiwa na msingi mbovu wa lugha ya kingereza na mitihani iwe sawa kwa shule za msingi za serikali na binafsi ambazo sio za kimataifa.
Serikali kutonunua magari ya kifahari kwa wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi na budget hio kuielekeza sehemu zenye uhitaji.
Kuanzisha mamlaka itakayohusika na upimaji wa makazi kama ilivyo TRA, tunapendekeza iitwe Tanzania agency of rural and urban planning (TARUP) itahakikisha watu wanajenga kwa kufuata mpangilio ili iwe rahisi kuwasambazia gesi majumbani, na huduma nyingine za kijamii na itakuwa na kazi zifuatazo;-
- Kupima nchi nzima.
- Kuhakikisha yeyote anayejenga anafuata mipango miji.
- Kuhakikisha kwenye miji, na vijiji kunakuwa na zoning na sio sasa unakuta gesti imejengwa katikati ya makazi ya watu.
- Kuhakikisha kwenye makazi yote kunapita miundombinu muhimu kama fiber, maji, n.k inapitak kwa kila mwenye nyumba.
- Kutoa elimu ya mipango miji na faida zake kwa wananchi.
- Polisi wa mipango miji watahakikisha wanaojenga wanafuata masharti na kuwatia nguvuni wote wanaojenga kiholela a.k.a wakaidi.
- Mapato yote ya majengo watakuwa wanakusanya wao.
Tuna malengo ya kupigania Tanzania ili kuondoa umaskini unaosumbua kaya nyingi.
MAONO (Vision)
Kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.
NJIA YA KUFIKIA (Mission)
Kuzalisha umeme mwingi kama njia ya kukuza umeme