NDUGU,
Hii si ChatGPT...
Ni koherensia ya Ufikirifu,
Uono na Ufikirifu Mifumo.
Wewe kama mtu, una
unaivu katika mafikara na udhanifu wako.
Humu wadau kadhaa wanaingilia kati mashauri na mitazamo yako kwa kheri lakini wewe kama mtu 'umejifungia kiakili' na kucheza mchezo wa kujihami--kujihami mno isivyolazima.
Si kila mtu anachangia kwenye nyuzi zako kwa kuwa wewe una nidhamu na adabu stahiki ya kimazungumzo--
HAUNA!
Alhamdulillah, mashauri yako ni mbegu ya kuvutia watu makini--unawavutia wengi kwa ujuaji na unaivu wako pia.
Siyo Kesi kivile... Kwa kuwa Unasaidia wengine kufahamu mambo ilivyobora--wewe Je?
Ulijizima data kwenye hili:
Halafu tena:
NASHAURI, usiogope kupewa changamoto ya kile unachodhani 'UMEMALIZA KIMAWAZO NA UJUAJI' na kumbe, kwa wakati huu, unako kule kujua mambo kwa sehemu tu;
Na tena, ujumla wa shauri lako ni Utoto/Ujuvinali wa Kujiwazia Ubab' Kubwa kwa kule tu kujidhania eti Umeshika 'Bunduki fulani Kubwa';
Unaweza kujisahihisha, kwa kuwa bado una nafasi ya kujipanga na kujipangua kimawazo na utashi ili uwe ni mtu mwenye kujua ilivyobora.
Hakuna ubaya kuachana ni mienendo ya
kijuvinali...
Je, Unataka 'Umimi katika Ujuaji-Juvinali' ama nidhamu bora ya kujiweka kiakili na adabu kwa ajili ya nasibu ya 'Tujuzane hata ikibidi kwa Kuleeana na Shauri Bora'?
... Amua mwenyewe.
Hmmm