Tanzania Economic Freedom Advocacy (TEFA)

Tanzania Economic Freedom Advocacy (TEFA)

Kuanzisha mamlaka itakayohusika na upimaji wa makazi, ili kuhakikisha watu wanajenga kwa kufuata mpangilio ili iwe rahisi kuwasambazia gesi majumbani, na huduma nyingine za kijamii na itakuwa na kazi zifuatazo;-​
  • Kupima nchi nzima.​
  • Kuhakikisha yeyote anayejenga anafuata mipango miji.​
  • Kuhakikisha kwenye miji, na vijiji kunakuwa na zoning na sio sasa unakuta gesti imejengwa katikati ya makazi ya watu.​
  • Kuhakikisha kwenye makazi yote kunapita miundombinu muhimu kama fiber, maji, n.k inapitak kwa kila mwenye nyumba.​
  • Kutoa elimu ya mipango miji na faida zake kwa wananchi.​
  • Polisi wa mipango miji watahakikisha wanaojenga wanafuata masharti na kuwatia nguvuni wote wanaojenga kiholela a.k.a wakaidi.​
  • Mapato yote ya majengo watakuwa wanakusanya wao.​
Hmmm

VIWANDA NA MIPANGO-SHUGHULI

Haya ni mashauri nusu nusu ya Tekinokrasia...

Tekinokrasia inahitaji Fahamu na Mafahamu...

Tekinokrasia inahitaji 'Intelijensia' ili kuwepo na Meritokrasia katika utendaji mzima wa Kijamii...

Uadilifu wa Kimawazo ni jambo moja, kuyaishi ya uadilifu ni jingine.

Unapoyazungumza mambo ya mipango miji, hilo ni jambo linalokamilishana na mipango ya kimazingira.

Kiufundi, Ufahamu wa Mafahamu ya Mazingira ni mama wa yote--Intelijensia, Tekinokrasia na Meritokrasia...

Tekinokrasia pasipo Intelijensia kamili na Hekima ni upikaji wa pombe ya Ufashisti--Sumu kwa Amani na Haki juu ya Shauri la Maajilio ya Kijamii.

Mafikara yoyote yenye asili ya kufikiri watu wanaweza kutumika kama namna yakuufikia 'mwisho fulani' ni 'mtego' wa kimaadili na miiko kwa kheri na ustawi wa kweli wa jamii; kwa kuwa huo ndiyo mwisho wenyewe wa 'Uhuru, Udugu, Amani na Haki' yenyewe--manne yafanyo hatma za 'JAMII-MACHAGUO YA KITAASISI-MATUKIO-WAKATI...

Ndiyo, makazi ni ingilio la Utekinokrasia; hekima ya makazi ni jambo linalohusisha mipango ya kimazingira na udhamirifu wa huduma kwa wanajamii.

Ndiyo, huduma kwa wanajamii ndiyo haya ya Elimu, Afya, Uchukuzi na Nishati na Starehe; kitaifa na mifumo, ndivyo basi 'Utaasisi wa Nchi' ni shughuli ya kuwahudumia wanajamii kulingana na miundo na miongozo ya kiutawala: Mambo ya Sera na Sheria...

Ndiyo, Usawa kwa watu wote katika kustahiki huduma bora za Elimu, Afya, Uchukuzi na Nishati na Starehe ni shauri mtambuka katika sera zote na vivyo hivyo Sheria/Utawala wa Sheria.

Ni upofu kudhani vyombo vya dola vinaweza kutumika kwa shurti wakati wote ama kwa sehemu kubwa; Tazama upya kusudi la vyombo vya dola katika Udumishaji wa Uhuru na Umoja iwe kokote kule Tanzania ama Nchi zingine...

Mambo ya 'Utii Bila Shurti' ndiyo angalizo kuu kwa Utendaji wa Jeshi la Polisi katika sifa na hadhi ya Uadilifu, Maadili na Miiko; ambavyo jeshi hili huepuka 'Vishawishi na Majaribu' ikiwa Jamii yenyewe, kwa misingi ya miundo yake ya Utawala na Utendaji, kuna 'Mwangaza' wa kutosha kwa Dhamira ya Ujamii na Ustawi.

Tazama kwa karibu alama ya Jeshi la Polisi hapa Tanzania, kwa mfano: utaona dhahiri insignia yenye alama za 'Taji la Muktadha wa Utendaji' katika Fanusi ya 'Mwenge wa Uhuru'... Na tena Utaona Ualama wa Shoka, Mkuki na Nyengo... Na tena utaona Kauli Mbiu: Usalama wa Raia...

'Mwenge wa Uhuru' ni fanusi ya 'Elimu'--lakini hii Elimu si ile Elimu ya Kutengenezwa kiakili kwa madarasa na visomo tu; Elimu ni 'Mwangaza'... Mwangaza huu ni fanusi Jamii katika UPENDO-UZURI-NGUVU-SHAURI...

Ndivyo basi, ni vema kila mwanajamii mwenye nasibu ya siha njema na uungwana afahamu, kujifahamu asili ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu katika Utu wake na Jamii...

Ikiwa kwa mfano mambo ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu yanafanyika kufahamika ilivyo vema katika kila mwanajamii katika wito bora wa kiraia basi ndivyo hata yale yote yanayokuja katika nadharia za visomo jamii kuhusiana na Urazini yataleta ufunguo kwa mafahamu ya Meritokrasia na Mapungufu ya Tekinokrasia isiyo na 'Mafamamu;...

Binadamu ni kiumbe mwenye urazini; maana ya Urazini ni kwamba kila mtu anako kule kuweza kujiuliza uliza maswali na kujijibu mwenyewe hata kwa hatma za kuchagua na kujichagulia...

Nchi-Dola ni Utaasisi kwa ajili ya kutengeneza mazingira maridhawa ya wanajamii kuwa na Nuru Bora kabisa kuwezekana na basi kujichagulia mapito yake...

Hali kadhalika, kila mwanajamii analojukumu la 'Kujielimisha' mwenyewe na kuelimishana na wenzake kwa busara na Hekima.

Utaasisi na Wakati huleta mifumo; Mwangaza na Elimu hunyambulisha Miundo na Miongozo ya Utaasisi na kutengeneza nasibu ya Mageuzi ya Kiutu na Jamii. Kinachotangulia daima ni Mwangaza na siyo Mifumo; kujichangaya kwa ile namna ya kudhani mifumo ndiyo 'Mpango Mzima' ni kujidanganya na kudanganyika...

Basi ndiyo yawa, mipango miji ina mengi ya changamoto kwa kuwa Nuru ya Ufahamu kwa Mwangaza wa Jamii na Kijamii haitajengemaa katika akili na mioyo ya wengi. Kudhani kutumia sheria kali ama vyombo vya dola ndiyo unyooshaji wa mambo, kiufundi khasa wa mambo, ni unaivu wa kimifumo...

Kila mtu anaweza kudadisi Nadharia za watu na makazi kama ile 'Nadharia ya Umahala Kati' ambayo ndiyo hapa Tanzania tunaitumia kwa upangaji wa makazi na Maendeleo ya Miji... Siku za Mbele Kidogo tunakwenda kujiongeza kuhusiana na hili kwa kuwa 'Tekinolojia na Nishati' vipo katika mabadiliko.

Mengi yanayozungumzwa humu, kama hayapitii tanuru ya fahamu na mafahamu ya yanayoendelea katika Ukweli Mpana wa Mambo ya Dunia ni 'Mabatili ya Hoja' na Mivutano...

Tekinolojia na Nishati ndiyo chungu cha 'Statusi Kwou' ama 'Mapinduzi'...

Kwa hivyo, ni unaivu wa kimifumo kujidhamiria namna fulani ya Utaifa, Mipango na Unyoko pasipo na Uelewa, Busara na Hekima ya 'Mifumo inayotawala Dunia'--Intelijensia kamili...

Je, Nadharia za mategemezi inapelekea mashauri yepi inapokuja kwenye 'Uhuru wa Kweli' wa jamii yenye kudhamiria kujinasua na mitego ya kutumiwa na kutumika?

Hili ni mwanzo wa kutegua vitendawili vya 'Jeuri ya Pesa' na 'Mtama kwa Watoto'...


View: https://www.youtube.com/watch?v=JN6LlMY2ApQ&pp=ygURZGVwZW5kZW5jeSB0aGVvcnk%3D
 
Unajua ukiwa na petrochemical plant unajua huitaji tena ku-import polythylene n.k kutoka uarabuni na tutakuwa tunawauzi nchi za sadc kumbuka hakuna nchi yenye petrochemical kwa nchi za sadc sasa unasemaje haina faida

Na viwanda vyote vya plastic vitakuwa vinanunua malighafi hapa Tanzania na sio ku-import kama wanavyofanya sasa unasemaje petrochemical haina faida

Watu wenye fikra kama zako ndo wamejaa serikali kila ukipeleka wazo wanalipiga chini kwamba ooh haiwezekan mara halina faida ilihali nchi ni maskini ya kutupa baada ya miaka 60+ ya uhuru
Yaani utafute muwekezaji ili ufanye refinery ya gesi asilia (na sijui unaifanyia refinery ili utoe nini) na unaongelea kutoa LPG (Ni kwamba yule anayeipata kutoka kwenye Petroleum anaipata cheaper kuliko wewe as a by product) mpaka hapo una product ambayo umeipata kwa gharama kuliko ungenunua

It is the maxim of a every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy....

Mpaka dakika hii huyo muwekezaji na yeye lazima apige faida yake ambayo ni overhead zaidi inayozidi kufanya product yako kuwa gharama zaidi...

Ni kama watu wanaagiza nguo kutoka Ulaya Je hatuna viwanda kama Mwatex n.k. Wenzako kama wanatoa kitu kama byproduct na sio the main product wanaweza kugawa hata bure bado watapata faida as hicho kitu ni byproduct...

Hivi unajua kuna wanachimba mafuta hio gesi asilia kuna kipindi wanaiachia na kuitupa sababu kwao at that time storage au kuuza ni more expensive zaidi ya kuitupa / kuiachia ?!!!

Kwahio nakwambia kwa mara nyingine ni efficient na faida kwetu kwa kutumia gesi asilia either kuzalisha umeme moja kwa moja..., kuitumia kwenye magari kama CNG na kuibadilisha kuwa kimininika LNG na kuisafirisha kwenye meli kwenda kuuza nje..., zaidi ya hapo does not make economical sense....
 
Yaani utafute muwekezaji ili ufanye refinery ya gesi asilia (na sijui unaifanyia refinery ili utoe nini) na unaongelea kutoa LPG (Ni kwamba yule anayeipata kutoka kwenye Petroleum anaipata cheaper kuliko wewe as a by product) mpaka hapo una product ambayo umeipata kwa gharama kuliko ungenunua

It is the maxim of a every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy....

Mpaka dakika hii huyo muwekezaji na yeye lazima apige faida yake ambayo ni overhead zaidi inayozidi kufanya product yako kuwa gharama zaidi...

Ni kama watu wanaagiza nguo kutoka Ulaya Je hatuna viwanda kama Mwatex n.k. Wenzako kama wanatoa kitu kama byproduct na sio the main product wanaweza kugawa hata bure bado watapata faida as hicho kitu ni byproduct...

Hivi unajua kuna wanachimba mafuta hio gesi asilia kuna kipindi wanaiachia na kuitupa sababu kwao at that time storage au kuuza ni more expensive zaidi ya kuitupa / kuiachia ?!!!

Kwahio nakwambia kwa mara nyingine ni efficient na faida kwetu kwa kutumia gesi asilia either kuzalisha umeme moja kwa moja..., kuitumia kwenye magari kama CNG na kuibadilisha kuwa kimininika LNG na kuisafirisha kwenye meli kwenda kuuza nje..., zaidi ya hapo does not make economical sense....
Navyoongea sahivi serikali inatafuta mwekezaji wa refinery ya gesi asilia lindi na mtwara

Unasema gesi haina faida hiki si kituko ambacho nakutana nacho kwamba unataka watu waendelee kutumia mikaa na kuni ambazo zinaharibu mazingira yetu

Mtu akiw na mawazo kama yako hakuna chochote tutakachofanya kama nchi sababu kila jambo unalitengenezea ugumu
 
Hmmm

VIWANDA NA MIPANGO-SHUGHULI

Haya ni mashauri nusu nusu ya Tekinokrasia...

Tekinokrasia inahitaji Fahamu na Mafahamu...

Tekinokrasia inahitaji 'Intelijensia' ili kuwepo na Meritokrasia katika utendaji mzima wa Kijamii...

Uadilifu wa Kimawazo ni jambo moja, kuyaishi ya uadilifu ni jingine.

Unapoyazungumza mambo ya mipango miji, hilo ni jambo linalokamilishana na mipango ya kimazingira.

Kiufundi, Ufahamu wa Mafahamu ya Mazingira ni mama wa yote--Intelijensia, Tekinokrasia na Meritokrasia...

Tekinokrasia pasipo Intelijensia kamili na Hekima ni upikaji wa pombe ya Ufashisti--Sumu kwa Amani na Haki juu ya Shauri la Maajilio ya Kijamii.

Mafikara yoyote yenye asili ya kufikiri watu wanaweza kutumika kama namna yakuufikia 'mwisho fulani' ni 'mtego' wa kimaadili na miiko kwa kheri na ustawi wa kweli wa jamii; kwa kuwa huo ndiyo mwisho wenyewe wa 'Uhuru, Udugu, Amani na Haki' yenyewe--manne yafanyo hatma za 'JAMII-MACHAGUO YA KITAASISI-MATUKIO-WAKATI...

Ndiyo makazi ni ingilio la Utekinokrasia; hekima ya makazi ni jambo linalohusisha mipango ya kimazingira na udhamirifu wa huduma kwa wanajamii.

Ndiyo huduma kwa wanajamii ndiyo haya ya Elimu, Afya, Uchukuzi na Nishati na Starehe; kitaifa na mifumo, ndivyo basi 'Utaasisi wa Nchi' ni shughuli ya kuwahudumia wanajamii kulingana na miundo na miongozo ya kiutawala: Mambo ya Sera na Sheria...

Ndiyo Usawa kwa watu wote katika kustahiki huduma bora za Elimu, Afya, Uchukuzi na Nishati na Starehe ni shauri mtambuka katika sera zote na vivyo hivyo Sheria/Utawala wa Sheria.

Ni upofu kudhani vyombo vya dola vinaweza kutumika kwa shurti wakati wote ama kwa sehemu kubwa; Tazama upya kusudi la vyombo vya dola katika Udumishaji wa Uhuru na Umoja iwe kokote kule Tanzania ama Nchi zingine...

Mambo ya 'Utii Bila Shurti' ndiyo angalizo kuu kwa Utendaji wa Jeshi la Polisi katika sifa na hadhi ya Uadilifu, Maadili na Miiko; ambavyo jeshi hili huepuka 'Vishawishi na Majaribu' ikiwa Jamii yenyewe, kwa misingi ya miundo yake ya Utawala na Utendaji, kuna 'Mwangaza' wa kutosha kwa Dhamira ya Ujamii na Ustawi.

Tazama kwa karibu alama ya Jeshi la Polisi hapa Tanzania, kwa mfano: utaona dhahiri insignia yenye alama za 'Taji la Muktadha wa Utendaji' katika Fanusi ya 'Mwenge wa Uhuru'... Na tena Utaona Ualama wa Shoka, Mkuki na Nyengo... Na tena utaona Kauli Mbiu: Usalama wa Raia...

'Mwenge wa Uhuru' ni fanusi ya 'Elimu'--lakini hii Elimu si ile Elimu ya Kutengenezwa kiakili kwa madarasa na visomo tu; Elimu ni 'Mwangaza'... Mwangaza huu ni fanusi Jamii katika UPENDO-UZURI-NGUVU-SHAURI...

Ndivyo basi, ni vema kila mwanajamii mwenye nasibu ya siha njema na uungwana afahamu, kujifahamu asili ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu katika Utu wake na Jamii...

Ikiwa kwa mfano mambo ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu yanafanyika kufahamika ilivyo vema katika kila mwanajamii katika wito bora wa kiraia basi ndivyo hata yale yote yanayokuja katika nadharia za visomo jamii kuhusiana na Urazini yataleta ufunguo kwa mafahamu ya Meritokrasia na Mapungufu ya Tekinokrasia isiyo na 'Mafamamu;...

Binadamu ni kiumbe mwenye urazini; maana ya Urazini ni kwamba kila mtu anako kule kuweza kujiuliza uliza maswali na kujijibu mwenyewe hata kwa hatma za kuchagua na kujichagulia...

Nchi-Dola ni Utaasisi kwa ajili ya kutengeneza mazingira maridhawa ya wanajamii kuwa na Nuru Bora kabisa kuwezekana na basi kujichagulia mapito yake...

Hali kadhalika, kila mwanajamii analojukumu la 'Kujielimisha' mwenyewe na kuelimishana na wenzake kwa busara na Hekima.

Utaasisi na Wakati huleta mifumo; Mwangaza na Elimu hunyambulisha Miundo na Miongozo ya Utaasisi na kutengeneza nasibu ya Mageuzi ya Kiutu na Jamii. Kinachotangulia daima ni Mwangaza na siyo Mifumo; kujichangaya kwa ile namna ya kudhani mifumo ndiyo 'Mpango Mzima' ni kujidanganya na kudanganyika...

Basi ndiyo yawa, mipango miji ina mengi ya changamoto kwa kuwa Nuru ya Ufahamu kwa Mwangaza wa Jamii na Kijamii haitajengemaa katika akili na mioyo ya wengi. Kudhani kutumia sheria kali ama vyombo vya dola ndiyo unyooshaji wa mambo, kiufundi khasa wa mambo, ni unaivu wa kimifumo...

Kila mtu anaweza kudadisi Nadharia za watu na makazi kama ile 'Nadharia ya Umahala Kati' ambayo ndiyo hapa Tanzania tunaitumia kwa upangaji wa makazi na Maendeleo ya Miji... Siku za Mbele Kidogo tunakwenda kujiongeza kuhusiana na hili kwa kuwa 'Tekinolojia na Nishati' vipo katika mabadiliko.

Mengi yanayozungumzwa humu, kama hayapitii tanuru ya fahamu na mafahamu ya yanayoendelea katika Ukweli Mpana wa Mambo ya Dunia ni 'Mabatili ya Hoja' na Mivutano...

Tekinolojia na Nishati ndiyo chungu cha 'Statusi Kwou' ama 'Mapinduzi'...

Kwa hivyo, ni unaivu wa kimifumo kujidhamiria namna fulani ya Utaifa, Mipango na Unyoko pasipo na Uelewa, Busara na Hekima ya 'Mifumo inayotawala Dunia'--Intelijensia kamili...

Je, Nadharia za mategemezi inapelekea mashauri yepi inapokuja kwenye 'Uhuru wa Kweli' wa jamii yenye kudhamiria kujinasua na mitego ya kutumiwa na kutumika?

Hili ni mwanzo wa kutegua vitendawili vya 'Jeuri ya Pesa' na 'Mtama kwa Watoto'...


View: https://www.youtube.com/watch?v=JN6LlMY2ApQ&pp=ygURZGVwZW5kZW5jeSB0aGVvcnk%3D

Usitumie chatgpt kwenye kuwakilisha hoja tumia akili yako
 
Navyoongea sahivi serikali inatafuta mwekezaji wa refinery ya gesi asilia lindi na mtwara
Mkuu ni kipi usichokielewa ? Gesi ya Mtwara wanataka kuisafirisha kwenda mbali na kuisafirisha gesi asilia ina volume kubwa sana kuipressurize ikawa ndogo (liquid) inahitaji nishati kubwa na pressure kubwa zaidi hivyo utunzaji kuwa mgumu tofauti na LPG..., hivyo basi alternative ni kushusha temperature ili pressure isiwe kubwa zaidi LNG na ndio hio ukifanya hivyo inasafirishwa kwenye mameli makubwa (Tankers) kwenda kuuzwa nje (LNG) ni katika usafirishaji..

Gesi hii ukitaka kuitumia kwa kuipikia inabidi utumie mabomba moja kwa moja (kama maji) hapo unaondoa hitaji la uhifadhi; Au unaweza kutumia kwenye magari kama CNG (compression sio kubwa sana)

Sasa utengeneze hio refinery ili ufanye nini ? Ubadilishe hii kuwa LPG ? Utapata kiasi gani hio LPG ili iwe economical feasible ?!!!

Na je kwanini uhangaike kufanya hivyo ? Ufanye hivyo ili upate nini ?
Unasema gesi haina faida hiki si kituko ambacho nakutana nacho kwamba unataka watu waendelee kutumia mikaa na kuni ambazo zinaharibu mazingira yetu
Ni wapi nimesema gesi haina faida ?!!! Kwetu sisi tuna alternative ya Umeme na vyanzo vingi sana, kwetu sisi tunaweza tukasafirisha hii gesi kwenda kutengeneza umeme, kwetu sisi tunaweza kuwauzia kina Japan kwa kuisafirisha kama LNG sababu wao Nishati kwao ni tatizo..., Sisi the cheapest alternative tunayo ambayo ni umeme. Na kuendelea kutumia pesa zetu kununua LPG ambayo sisi hatuna wakati tuna umeme ndio uzwazwa wenyewe ambao nimekuwa nikikwambia tangia point yangu ya kwanza. Ila wewe unaleta story ya vitu ambavyo utaingia gharama kuvipata na price yako ikawa kubwa kuliko hata ungenunua pengine.
Mtu akiwa na mawazo kama yako hakuna chochote tutakachofanya kama nchi sababu kila jambo unalitengenezea ugumu
Nani kasema mambo ni magumu ? Hakuna mambo ambayo kama taifa tunashindwa kufanya, lakini kuna mambo ambayo ni upuuzi kuyafanya sababu they neither make economical nor any sense whatsoever.., mfano hili la kununua LPG kutoka nje ya nchi wakati tuna umeme ambao hadi dakika hii ni bei rahisi kwa mtu kijijini kuweza kupikia Tshs 100/= per Unit tofauti na Tshs. 300/=
 
Kuna mambo mengi huyajui
Ndo maana kuna mpango wa kutengeneza refinery ili kuweze kuzalishwa gesi ya kutumika majumbani na kwenye viwanda

Sasa hivi gesi inanunuliwa uarabuni na india kwa sababu tu hatuna refinery hapa Tanzania tukiwa nayo hatuta nunua tena gesi uarabuni na india na tutawauzia majirani zetu

Pesa ni mwekezaji anajenga kama nchi ni ngumu kuhimili mradi wa refinery ya gesi ataendesha fesha yake ikirudi anaikabidhi serikali
Yaelekea hujui hata unachandika.
Kuna tofauti kati ya LPG na Natural gas.
 
Mkuu ni kipi usichokielewa ? Gesi ya Mtwara wanataka kuisafirisha kwenda mbali na kuisafirisha gesi asilia ina volume kubwa sana kuipressurize ikawa ndogo (liquid) inahitaji nishati kubwa na pressure kubwa zaidi hivyo utunzaji kuwa mgumu tofauti na LPG..., hivyo basi alternative ni kushusha temperature ili pressure isiwe kubwa zaidi LNG na ndio hio ukifanya hivyo inasafirishwa kwenye mameli makubwa (Tankers) kwenda kuuzwa nje (LNG) ni katika usafirishaji..

Gesi hii ukitaka kuitumia kwa kuipikia inabidi utumie mabomba moja kwa moja (kama maji) hapo unaondoa hitaji la uhifadhi; Au unaweza kutumia kwenye magari kama CNG (compression sio kubwa sana)

Sasa utengeneze hio refinery ili ufanye nini ? Ubadilishe hii kuwa LPG ? Utapata kiasi gani hio LPG ili iwe economical feasible ?!!!

Na je kwanini uhangaike kufanya hivyo ? Ufanye hivyo ili upate nini ?

Ni wapi nimesema gesi haina faida ?!!! Kwetu sisi tuna alternative ya Umeme na vyanzo vingi sana, kwetu sisi tunaweza tukasafirisha hii gesi kwenda kutengeneza umeme, kwetu sisi tunaweza kuwauzia kina Japan kwa kuisafirisha kama LNG sababu wao Nishati kwao ni tatizo..., Sisi the cheapest alternative tunayo ambayo ni umeme. Na kuendelea kutumia pesa zetu kununua LPG ambayo sisi hatuna wakati tuna umeme ndio uzwazwa wenyewe ambao nimekuwa nikikwambia tangia point yangu ya kwanza. Ila wewe unaleta story ya vitu ambavyo utaingia gharama kuvipata na price yako ikawa kubwa kuliko hata ungenunua pengine.

Nani kasema mambo ni magumu ? Hakuna mambo ambayo kama taifa tunashindwa kufanya, lakini kuna mambo ambayo ni upuuzi kuyafanya sababu they neither make economical nor any sense whatsoever.., mfano hili la kununua LPG kutoka nje ya nchi wakati tuna umeme ambao hadi dakika hii ni bei rahisi kwa mtu kijijini kuweza kupikia Tshs 100/= per Unit tofauti na Tshs. 300/=
Hayo mambo unayoongea kama utunzaji ni jukumu la mwekezaji na sio serikali

Ndo maana nikakuuliza unajua kwanini serikali inatafuta mwekezaji ???? Kwa hayo maswali yako ni wazi huelewei mchakato mzima
 
Yaelekea hujui hata unachandika.
Kuna tofauti kati ya LPG na Natural gas.
Yaani nisijue yofauti ya Liquified petroleum gas (LPG) inayo-compromise butane na probane na liquified natural gas (LNG) au methane

Sijisifiii ila najua tofauti zake na hicho ni kitu kidogo sana
 
Hayo mambo unayoongea kama utunzaji ni jukumu la mwekezaji na sio serikali
Aisee Ni kwamba kama utunzaji ni gharama ndio maana gesi asilia either inakuwa piped ili itumike directly au inawekwa kwenye mitungi isiyohitaji compression kubwa itumike kwenye magari (CNG) au inawekwa kwenye matenki makubwa kabisa kwenye nyuzi joto dogo ili isafirishwe kwenye meli kwenda mbali ili ikauzwe huko ambapo Nishati hakuna...

Kama utunzaji ni gharama na ni jukumu la mwekezaji atashindana vipi na mtu wa LPG ambaye kutunza kwenye mitungi ni nafuu kama mwisho wa siku mteja wa kumuuzia ni mmoja ?!!!!
Ndo maana nikakuuliza unajua kwanini serikali inatafuta mwekezaji ???? Kwa hayo maswali yako ni wazi huelewei mchakato mzima
Inatafuta mwekezaji ili afanye nini ? Abadilishe gesi asilia kuwa LPG ? au ni wewe ndio huelewi mchakato mzima ?

Na kama serikali inafanya hivyo sitashangaa sababu mpaka sasa kuna vitu vya ajabu vinafanyika which does not make economic sense (kuwapa / kuhamasisha watu kutumia LPG wakati ni gharama na haipo nchini kwa kuwakataza kutumia Kuni wakati kuna Umeme ambao ni nafuu)
 
Yaani nisijue yofauti ya Liquified petroleum gas (LPG) inayo-compromise butane na probane
specifically propane, n-butane and isobutane. It can sometimes contain some propylene, butylene, and isobutylene/isobutene
na liquified natural gas (LNG)
Liquefied natural gas (LNG) is natural gas (predominantly methane, CH4, with some mixture of ethane, C2H6) that has been cooled to liquid form for ease and safety of non-pressurized storage or transport. It takes up about 1/600th the volume of natural gas in the gaseous state at standard conditions for temperature and pressure.
au methane

Sijisifiii ila najua tofauti zake na hicho ni kitu kidogo sana
Hio methane ndio hio gesi asilia au hata nyumbani kwako ukitengeneza Biogas asilimia kubwa ni methane...

Kwahio utaona kwamba at STP (yaani mazingira ya kawaida Joto na Pressure) ni rahisi kutunza LPG sababu haiitaji mkandamizo mkubwa (Pressure kama Methane) hivyo kuweza kuwa nayo nyingi kwenye ujazo mdogo..., ila hilo huwa sio tatizo kama gesi hii ikisambazwa kwenye mabomba kutoka source mpaka destination.

Sasa nirudi kwako unataka tubadilishe hio Gesi asilia ili iwe LPG je unadhani kwenye hii gesi yetu kwenye Kilo moja ya gesi asilia utatoa LPG kiasi gani ? Na cost ya kufanya hivyo ni kiasi gani ? Na kwanini ufanye hivyo iwapo hii gesi unaweza kuitumia kama ilivyo ?!!!!
 
Aisee Ni kwamba kama utunzaji ni gharama ndio maana gesi asilia either inakuwa piped ili itumike directly au inawekwa kwenye mitungi isiyohitaji compression kubwa itumike kwenye magari (CNG) au inawekwa kwenye matenki makubwa kabisa kwenye nyuzi joto dogo ili isafirishwe kwenye meli kwenda mbali ili ikauzwe huko ambapo Nishati hakuna...

Kama utunzaji ni gharama na ni jukumu la mwekezaji atashindana vipi na mtu wa LPG ambaye kutunza kwenye mitungi ni nafuu kama mwisho wa siku mteja wa kumuuzia ni mmoja ?!!!!

Inatafuta mwekezaji ili afanye nini ? Abadilishe gesi asilia kuwa LPG ? au ni wewe ndio huelewi mchakato mzima ?

Na kama serikali inafanya hivyo sitashangaa sababu mpaka sasa kuna vitu vya ajabu vinafanyika which does not make economic sense (kuwapa / kuhamasisha watu kutumia LPG wakati ni gharama na haipo nchini kwa kuwakataza kutumia Kuni wakati kuna Umeme ambao ni nafuu)
Mwanzon nilikuambia kuna mambo mengi hujui kila mtu anayoitaka hiyo refinery wewe unasema haina faida mbona kituko

Watu ambao wako kwenye biashara wanasema inafaida kubwa ila wewe unasema hamna ndo maana nilikuambia tokea mwanzo kuna mambo mengi huyaju na unatakiwa kujifunza
 
Mwanzon nilikuambia kuna mambo mengi hujui kila mtu anayoitaka hiyo refinery wewe unasema haina faida mbona kituko

Watu ambao wako kwenye biashara wanasema inafaida kubwa ila wewe unasema hamna ndo maana nilikuambia tokea mwanzo kuna mambo mengi huyaju na unatakiwa kujifunza
Refinery ya kufanya nini na ili upate nini ? Hilo ndio swali ? Mimi tangia mwanzo wa post yangu ya mwanzo kabisa nimeongelea matumizi ya LPG katika kupikia wakati tuna vyanzo vingine na hii tunanunua wewe ndio ukaja na ngonjera za kubadilisha hio gesi asilia kuwa LPG.., sasa ndio swali linakuja hio Refinery ya Serikali ni ya kufanya hivyo ? Na ukifanya hivyo utatoa kiasi gani kwenye kila kiasi fulani cha gesi asilia ? Anzia hapo ndio utaelewa kwamba sio kila kitu ni feasible...

Au wewe umesikia maneno refinery ndio ukajua wanabadilisha hio gesi asilia ili watafute hio LPG kiduchu ?
 
Refinery ya kufanya nini na ili upate nini ? Hilo ndio swali ? Mimi tangia mwanzo wa post yangu ya mwanzo kabisa nimeongelea matumizi ya LPG katika kupikia wakati tuna vyanzo vingine na hii tunanunua wewe ndio ukaja na ngonjera za kubadilisha hio gesi asilia kuwa LPG.., sasa ndio swali linakuja hio Refinery ya Serikali ni ya kufanya hivyo ? Na ukifanya hivyo utatoa kiasi gani kwenye kila kiasi fulani cha gesi asilia ? Anzia hapo ndio utaelewa kwamba sio kila kitu ni feasible...

Au wewe umesikia maneno refinery ndio ukajua wanabadilisha hio gesi asilia ili watafute hio LPG kiduchu ?
Mpaka leo hujui faida ya refinery binafsi siwezi endelea kubishana na wewe kwa sababu napoteza mda ni kama unafanya maksudi

Wewe endelea kuamini haina faida una uhuru huo sisi wengine tutaendelea kuipigania
 
Mpaka leo hujui faida ya refinery binafsi siwezi endelea kubishana na wewe kwa sababu napoteza mda ni kama unafanya maksudi

Wewe endelea kuamini haina faida una uhuru huo sisi wengine tutaendelea kuipigania
Tubaki kwenye Hoja iliyoanzisha point yangu ya kwanza tangia jana nayo ni matumizi ya LPG katika mapishi na wewe ukaja na point kwamba refinery ikianza tutakuwa tunatumia LPG kutoka kwenye hio gesi asilia...

Sasa ndio nakuuliza katika hesabu zako ulizopiga kila kilo ya Natural Gas itatoa LPG kiasi gani na ni faida gani kubadilisha hio gesi iwe LPG ili upikie wakati unaweza kuipikia as is au kuizalishia umeme watu wakapikia ?

My whole argument is based there na katika hizi post zote nilikuwa na bado ninataka kukurudisha hapo hapo na najaribu kila angle lakini naona ni kama nampigia mbuzi gitaa....
 
Tubaki kwenye Hoja iliyoanzisha point yangu ya kwanza tangia jana nayo ni matumizi ya LPG katika mapishi na wewe ukaja na point kwamba refinery ikianza tutakuwa tunatumia LPG kutoka kwenye hio gesi asilia...

Sasa ndio nakuuliza katika hesabu zako ulizopiga kila kilo ya Natural Gas itatoa LPG kiasi gani na ni faida gani kubadilisha hio gesi iwe LPG ili upikie wakati unaweza kuipikia as is au kuizalishia umeme watu wakapikia ?

My whole argument is based there na katika hizi post zote nilikuwa na bado ninataka kukurudisha hapo hapo na najaribu kila angle lakini naona ni kama nampigia mbuzi gitaa....
Endelea kuamini unachoamini na mimi acha niendelee nachoamini tusitumie mda mwingi kubishana mda utaongea
 
Angalia hii diagram utanielewa namaanisha nini point yangu ni kwamba natural gas refinery inatoa ethane, probane na butane ambazo kwenye crude oil refinery unazipata kupita napthaView attachment 3262315
IMG-20250308-WA0000.jpg
 
Kwamba hujui offshore drilling ni nini duuu kazi ipo ila utaelewa tu
Jikite kwenye point ya msingi ile ni typing error inaitwa propane na sio probane
Ukisoma mada, ni wazi contributors wote mpaka sasa hamjui ya kuwa offshore ‘reserves’ iwe mafuta au gas; zote zinakuja na zimechanganyika na maji.

Tofauti ya oil and gas offshore reservoir ni kwamba wakiita oil well ni kwamba ina mafuta mengi na wakiita gas well ina mafuta mengi.

Lakini kwenye distillation process by products ni karibu zile zile. Sema kisima cha mafuta kinatoa mafuta mengi, na kisima cha gas kinatoa gęsi nyingi.

Kisima cha mafuta kina gas kama byproduct, na kisima cha gas kina mafuta kama byproduct.

Huko kwenye petrol chemical uelewa wa wachangiaji wa hii mada ndio sifuri kabisa( hata basics amuelewi.

Ndio ukweli
 
Kwamba hujui offshore drilling ni nini duuu kazi ipo ila utaelewa tu
Jikite kwenye point ya msingi ile ni typing error inaitwa propane na sio probane
Uliandika serikali ijenge offshore drilling na gas refinery. Unaweza kujenga drilling? Drilling maana yake ni kuchoronga. Kwa hiyo ukisema serikali ijenge drilling maana yake una maanisha serikali ijenge kuchoronga.
 
Back
Top Bottom