babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Kenya not yet uhuru πππ ndio maana wazungu waliwanyanganya wakenya mashamba na hakuna kitu serikali yao imefanya kuyarudisha hayo mashamba.Lame excuse, China and Ghana which country is more exposed to English? again which country is more progressive than the other?
Kenya not yet uhuru πππ ndio maana wazungu waliwanyanganya wakenya mashamba na hakuna kitu serikali yao imefanya kuyarudisha hayo mashamba.
Hakuna sehemu niliyosema wamteke mkulima.We huna akili hata kidogo ulitegemea TISS wamteke uyo mkulima wakati anaenda Canada...au unafikiri TISS wana makao yao Canada...kuna watu vilaza sana
Subili hadi mwaka wa uchaguzi wa Kenya 2022 ndiyo utaijua vizuri tanzaniaBangi hii
Kumbe kaongea mjinga mmoja hivi kutoka Kenya!!
Nilidhani ni authority institutions kama WB au IMF au AFDB,etc
Kumbe ni bangi za Embakasi East!
Subili hadi mwaka wa uchaguzi wa Kenya 2022 ndiyo utaijua vizuri tanzania
Hao jamaa ni watu wasiojielewa, Kingereza mnachoongea bado per capita haifiki 2000, Japan wala hawajui kingereza per capita $35000
Kenya has been holding elections since the 1960s na huo mda wote tunajua Tanzania ni LDC. What else do you want us to know about Tanzania and what does elections got to do with it?Subili hadi mwaka wa uchaguzi wa Kenya 2022 ndiyo utaijua vizuri tanzania
Subiri watakuambia Tutazindua.Ni comedians tupuKenya has been holding elections since the 1960s na huo mda wote tunajua Tanzania ni LDC. What else do you want us to know about Tanzania and what does elections got to do with it?
actually per capita ya kenya 2019 nii USD $2010Hao jamaa ni watu wasiojielewa,Kingereza mnachoongea bado per capita haifiki 2000 ,Japan wala hawajui kingereza per capita $35000
Yeah, remember haimanishi kuwa wao ni developed bro No but matured yani upo kwenye level ya deminishing return haukui tena unakua kwa rate ndogo sana tofauti na sis uchumi wetu na ethiopia unakua kwa rate kila kukichaUchumi Matured?
As of 2019, Kenya had an estimated GDP of $99.246 billion[13] and per capita GDP of $2,010Hao jamaa ni watu wasiojielewa,Kingereza mnachoongea bado per capita haifiki 2000 ,Japan wala hawajui kingereza per capita $35000
Kenya haina matured economy, bado ni low income developing country, hata haina uwezo wa kujilisha inapata food aid halafu unaongelea matured economy? Hiyo ni Elimu ya Kariobangi na bangi nyingi.
Huu wimbo tumesikia toka enzi za Nyerere
Nyie hamjulikani idadi yenyu.
Bro kuwa na matured economy haimanishi kuwa ndo wapo developed ama wanaboonge la uchumi, No. Ni kwamba uchumi wao umefika mahali ambapo haukui or unakua kwa rate ndogo mno, yani wamefika kwenye pik then diminishing
Bro kuwa na matured economy haimanishi kuwa ndo wapo developed ama wanaboonge la uchumi, No. Ni kwamba uchumi wao umefika mahali ambapo haukui or unakua kwa rate ndogo mno, yani wamefika kwenye pik then diminishing
ICU WE SUBILI TU 2022βSubiliβ ndio Kiswahili cha wapi?
Always Kiswahili chako kipo ICU!
Unaifikiria Kenya 2022,wale tayari are good na katiba yao na misingi waliyoiweka!
Isemee Tanzania 2020!
Lazima damu imwagike,mimi ntamtafuta mawe na Bashite niwapige mapanga ya matako!
ICU WE SUBILI TU 2022
Wewe subili mbona unanisumbuaβSubiliβ?
Mkuu rudi shule aisee!
Haiwezekani hujui tofauti ya R na L!