Tanzania Economy to Surpass Kenya and Ethiopia by 2030

Tanzania Economy to Surpass Kenya and Ethiopia by 2030

Lame excuse, China and Ghana which country is more exposed to English? again which country is more progressive than the other?
Kenya not yet uhuru 😂😂😂 ndio maana wazungu waliwanyanganya wakenya mashamba na hakuna kitu serikali yao imefanya kuyarudisha hayo mashamba.
 
Kenya not yet uhuru 😂😂😂 ndio maana wazungu waliwanyanganya wakenya mashamba na hakuna kitu serikali yao imefanya kuyarudisha hayo mashamba.

Naona wenyewe wakiona unaongea kiingereza wanakuogopa. Lkn bado walipigwa na mandarin speaking people.
 
We huna akili hata kidogo ulitegemea TISS wamteke uyo mkulima wakati anaenda Canada...au unafikiri TISS wana makao yao Canada...kuna watu vilaza sana
Hakuna sehemu niliyosema wamteke mkulima.

Kwanza unajua kazi za TISS? Nisije nikawa napoteza muda wangu bure
 
Bangi hii

Kumbe kaongea mjinga mmoja hivi kutoka Kenya!!

Nilidhani ni authority institutions kama WB au IMF au AFDB,etc

Kumbe ni bangi za Embakasi East!
Subili hadi mwaka wa uchaguzi wa Kenya 2022 ndiyo utaijua vizuri tanzania
 
Subili hadi mwaka wa uchaguzi wa Kenya 2022 ndiyo utaijua vizuri tanzania

“Subili” ndio Kiswahili cha wapi?

Always Kiswahili chako kipo ICU!

Unaifikiria Kenya 2022,wale tayari are good na katiba yao na misingi waliyoiweka!

Isemee Tanzania 2020!

Lazima damu imwagike,mimi ntamtafuta mawe na Bashite niwapige mapanga ya matako!
 
Hao jamaa ni watu wasiojielewa,Kingereza mnachoongea bado per capita haifiki 2000 ,Japan wala hawajui kingereza per capita $35000
 
Jichocheni tu eti Japan, China na South-Korea hawajui Kingereza. Toyota, Sony, Huawei na Samsung kampuni kubwa zinauzwa kote duniani kutumia Kingereza.

More Chinese speak English as their fast language than the entire population of Tanzania.

Again these are 1st world countries with things to offer to the world and still take their time to study English. Tanzania gives nothing to the world therefore tz needs english more than english needs it.
Hao jamaa ni watu wasiojielewa, Kingereza mnachoongea bado per capita haifiki 2000, Japan wala hawajui kingereza per capita $35000
 
Subili hadi mwaka wa uchaguzi wa Kenya 2022 ndiyo utaijua vizuri tanzania
Kenya has been holding elections since the 1960s na huo mda wote tunajua Tanzania ni LDC. What else do you want us to know about Tanzania and what does elections got to do with it?
 
Kenya has been holding elections since the 1960s na huo mda wote tunajua Tanzania ni LDC. What else do you want us to know about Tanzania and what does elections got to do with it?
Subiri watakuambia Tutazindua.Ni comedians tupu
 
Uchumi Matured?
Yeah, remember haimanishi kuwa wao ni developed bro No but matured yani upo kwenye level ya deminishing return haukui tena unakua kwa rate ndogo sana tofauti na sis uchumi wetu na ethiopia unakua kwa rate kila kukicha
 
Hao jamaa ni watu wasiojielewa,Kingereza mnachoongea bado per capita haifiki 2000 ,Japan wala hawajui kingereza per capita $35000
As of 2019, Kenya had an estimated GDP of $99.246 billion[13] and per capita GDP of $2,010
that was divided by 52 million Kenyans, si by the real 47 million Kenyans, that means its above 2010
 
Bro kuwa na matured economy haimanishi kuwa ndo wapo developed ama wanaboonge la uchumi, No. Ni kwamba uchumi wao umefika mahali ambapo haukui or unakua kwa rate ndogo mno, yani wamefika kwenye pik then diminishing
Kenya haina matured economy, bado ni low income developing country, hata haina uwezo wa kujilisha inapata food aid halafu unaongelea matured economy? Hiyo ni Elimu ya Kariobangi na bangi nyingi.
 
As of 2019, Kenya had an estimated GDP of $99.246 billion[13] and per capita GDP of $2,010
that was divided by 52 million Kenyans, si by the real 47 million Kenyans, that means its above 2010
Nyie hamjulikani idadi yenyu.

BTW, nawapa hongera sana majirani. Upande wa mawasiliano na simu kwenyu hapo naona hadi watoii wanakuwanga nazo. [emoji28][emoji28]
 
Bro kuwa na matured economy haimanishi kuwa ndo wapo developed ama wanaboonge la uchumi, No. Ni kwamba uchumi wao umefika mahali ambapo haukui or unakua kwa rate ndogo mno, yani wamefika kwenye pik then diminishing

Kwaiyo gdp ya bn65$ na watu milioni 50 ni Matured economy to you?
 
Bro kuwa na matured economy haimanishi kuwa ndo wapo developed ama wanaboonge la uchumi, No. Ni kwamba uchumi wao umefika mahali ambapo haukui or unakua kwa rate ndogo mno, yani wamefika kwenye pik then diminishing


Uchumi wa Kenya haujawahi kufikia hiyo unayoiita peak, Kenya bado ni low income developing country na wangeweza hata kukuwa kuanzia 10% na kuendelea kwa miaka hata 20, lkn hawajafikia 10% siyo kwa sababu ya ukomavu bali ubovu wa sera na mambo mengine mengi kama tu ilivyo kwenye nchi nyingi za third world.

Bado hakuna skills za kuwezesha kuongeza productivity, nishati ya kutosha hamna unahitaji kuanzia 10 000 MW za umeme kwa nchi yenye watu zaidi ya milioni 40 kama Kenya/TZ ili uweze kuwa na heavy industries, barabara uhakika huko vijijini kuunganisha na miji, uzalishaji wa mbolea kwa kilimo n.k. hayo yote Kenya haijaweza kufanya bado sasa inawezaje kuwa imefikia peak wakati hata chakula chenyewe wanashindwa kuzalisha cha kutosha?
 
“Subili” ndio Kiswahili cha wapi?

Always Kiswahili chako kipo ICU!

Unaifikiria Kenya 2022,wale tayari are good na katiba yao na misingi waliyoiweka!

Isemee Tanzania 2020!

Lazima damu imwagike,mimi ntamtafuta mawe na Bashite niwapige mapanga ya matako!
ICU WE SUBILI TU 2022
 
Back
Top Bottom