Tanzania Economy to Surpass Kenya and Ethiopia by 2030

Tanzania Economy to Surpass Kenya and Ethiopia by 2030

[emoji23][emoji23][emoji23]This means a normal Kenyan has higher spending power & richer so he/she party in Tz unlike you guys.

Natafuta 50k nteremke huko, najua ntakua millionaire instant pale[emoji4][emoji4]
Akili yako fupi, kwa hiyo unafurahia maisha ya wananchi wenzako kuwa magumu kutokana na bidhaa kuwa ghali 😂😂😂
 
How about this? 😂 😂


who is better off?
 
Ni kwa sababu wanakwepa maisha magumu hakuna kuishi ndani ya nchi LDC. poverty index in tanzania is much higher than in Kenya
Wewe huwa Unatumia makwapa kufikiria na kujibu wacha nikupotezee ila ukweli wa wananchi wenu unaufahamu 😂😂😂
Mbishi by nature.
 
Wewe huwa Unatumia makwapa kufikiria na kujibu wacha nikupotezee ila ukweli wa wananchi wenu unaufahamu 😂😂😂
Mbishi by nature.
Nabisha nini wewe msukuma? Show me poverty index between Kenya and Tanzania now ndio tuone ni wapi ufukara imekita mizizi. Anayebisha ni wewe ila sio mimi
 
How about this? 😂 😂


who is better off?


who does trust world bank?
 
Nabisha nini wewe msukuma? Show me poverty index between Kenya and Tanzania now ndio tuone ni wapi ufukara imekita mizizi. Anayebisha ni wewe ila sio mimi
Lini uliona Tanzania ikipewa chakula cha msaada karne hii?
 
Nimekuambia uniletee poverty index kati ya Kenya na Tanzania tuone mbivu na mbichi. Mbona unaweweseka?
Ingia indexmundi ujionee mwenyewe,
Ukishajionea uje hapa unijibu ni lini uliona Tanzania ikipewa chakula cha msaada karne hii.
 
Ingia indexmundi ujionee mwenyewe,
Ukishajionea uje hapa unijibu ni lini uliona Tanzania ikipewa chakula cha msaada karne hii.
Which organization is that? Ama ni zile blogs zenu mnarusha rusha hapa ndani? 😂 😂
 
Leo nita kunywa ya jaluo,
Wewe endelea kusubiria food donations.
Sawa danganyikan 😂 😂. Ukimaliza kunywa utapata uchumi wenu imeongezeka maradafu na poverty index yenu itakuwa imeboreka zaidi kuliko ya Kenya
 
Sawa danganyikan 😂 😂. Ukimaliza kunywa utapata uchumi wenu imeongezeka maradafu na poverty index yenu itakuwa imeboreka zaidi kuliko ya Kenya
Hatutaki uchumi wa kwenye makaratasi,
Tunataka uchumi unaoleweka sio uchumi unaoshindwa hata kujenga miradi yake yenyewe hadi ikope kope ovyo,
Uchumi unaotegemea chakula cha misaada,
Masikini wa Tanzania ana unafuu mara kibao kuliko masikini wa kenya.
 
Hatutaki uchumi wa kwenye makaratasi,
Tunataka uchumi unaoleweka sio uchumi unaoshindwa hata kujenga miradi yake yenyewe hadi ikope kope ovyo,
Uchumi unaotegemea chakula cha misaada,
Masikini wa Tanzania ana unafuu mara kibao kuliko masikini wa kenya.
Tunakopa kwa sababu tuko na uwezo wa kulipa. Hatungekuwa na huo uwezo hatungekuwa tunapewa mikopo in the first place. Sisi sio kama nyinyi nchi LDC inasamehewa madeni na wala hatushindwi kulipa deni za Shilingi mbili hadi ndege zetu zikamatwe. Hatuko ligi moja kaka braza!
 
Back
Top Bottom