Ndege hazipai na mliofunga mipaka ni nyie mlio-panic,sisi tunaendelea mishe zetu kama kawa,kama dawa...watu wanaumwa corona na wanapona
Ndio kafariki, kwani kufariki ni jambo la ajabu? Nyie wakenya mna tatizo gani!Haya bwana ila mkawaliwaze hawa au muwape hayo majibu
Naskia watu wamehepa from hospitali ya Amana jana coz they are not being treated and have to pay for a simple dose of panadolHaya bwana ila mkawaliwaze hawa au muwape hayo majibu
Naskia watu wamehepa from hospitali ya Amana jana coz they are not being treated and have to pay for a simple dose of panadol
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia watu wamehepa from hospitali ya Amana jana coz they are not being treated and have to pay for a simple dose of panadol
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu huo.Kenya 296.
Vifo 14.
Tanzania 254.
Vifo 10...
Hapo lazma roho ziwaume.
Sisi mnaotuita wakaidi tuna afadhari kuliko nyie.
MWILI UPO KENYA ROHO IPO TANZANIA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Are you still there Geza?Huku mkiongoza kwa vifo so far 14 deaths! Plus 3 deaths from Police brutality to enforce curfew!
still Kenya 17 vs 16 Tanzania!Are you still there Geza?
When did Kenya reach 17?still Kenya 17 vs 16 Tanzania!
See the quote!When did Kenya reach 17?
I can see old age is catching up with you.still Kenya 17 vs 16 Tanzania!
Plus 3 as a result of coronavirus curfew!I can see old age is catching up with you.View attachment 1434839
We unatucheka kwani kwenu korona imeisha? Kwani huu umekuwa mpira wa miguu kushindana nani kafungwa? We unaleta utani kwenye vifo, nani kasema wewe huwezi kupata?Tulijaribu kuwaelimisha kwamba Corona ni janga duniani kote. Ila Kenya tulipopata kesi ya kwanza tu wakaanza kutukejeli na kututusi. Kuna sehemu niliwaambia kwamba hili janga litawaumbua kweli kweli. Sasa hivi tayari wanatuongoza kwa 'active cases' maanake wagonjwa 69/281 wamepona nchini Kenya idadi inakuwa 212. Tz wapo 243 baada ya wagonjwa 11/254 kupona. Siwakashifu kwasababu ya Corona ila ni kwasababu ya umbumbu na uchawi wa BAADHI yao.
Your stupidity is out of this world. How do police killing related to Corona deaths.Plus 3 as a result of coronavirus curfew!
they killed as they tried to institute the curfew in the name of coronavirus prevention! there u go!Your stupidity is out of this world. How do police killing related to Corona deaths.
Umeelewa nilichoandika au umerukia kuninukuu tu kwa mbwembwe nyingi? Sijamcheka mtu, nimewakashifu wenzako ambao walikuwa wakitucheka na kutubeza hapo awali janga hili lilipoibuka. Nitakuwia radhi kwasababa labda wewe ni mgeni kwenye jukwaa hili. Nyuzi za kuiponda Kenya kuhusu Corona zipo nyingi sana humu na sasa hivi zimebakia kuwa kumbukumbu za umbumbu wenu nyinyi wafia chama. Kuna hadi 'Score Board' ambayo walikuwa wanaitumia kila siku kujisifia na kutuweka chini kuhusu maambakizi na vifo wakisema sijui eti Tz-20 Kenya 85.We unatucheka kwani kwenu korona imeisha? Kwani huu umekuwa mpira wa miguu kushindana nani kafungwa? We unaleta utani kwenye vifo, nani kasema wewe huwezi kupata? Acha ujinga wewe!