Tanzania General Hip Hop Awards

Tanzania General Hip Hop Awards

Katika category ya nyimbo bora ya pamoja ngomba ya kimbia ya langa, babuu ilipaswa kuwepo
 
conscious ni BONTA MAARIFA HAINA USHINDANI
best collabo MCHIZI WANGU REMIX HAINA MPINZANI
msanii bora muda wote FID Q AKIFUATIWA NA AFANDE SELE
nawasilisha
 
MSANII BORA HIP HOP WA MUDA WOTE
@ALBERT MANGWEA
WIMBO BORA HIP HOP WA MUDA WOTE
@DARUBINI_ Afande Sele
WIMBO BORA HIP HOP WA KUSHIRIKIANA
@MTAZAMO_Sele+P.Jay+Sele
ALBUM BORA HIP HOP
@MACHOZI JASHO NA DAMU_P.Jay
MSANII BORA HIP HOP NYIMBO ZA UFAHAMU
@Bonta
MSANII BORA TUNGO SIMULIZI
@Jay moe
MSANII BORA WA FREESTYLE
@ALBERT MANGWEA
MSANII BORA KTK ENGLISH LANGUAGE
@Niki MBISHI
MSANII BORA MWENYE MITINDO MINGI
Fid Q
MTAYARISHAJI BORA HIP HOP
@P FUNK MAJANI
TUZO ZA HESHIMA
SUGU, MAJANI
 
kama stamina hayupo hakuna haja ya kuendelea na hizo tuzo...
Roma kabla ya kuimba kibamia ( kabla ya kutekwa ).. acheni ubinafsi
 
MSANII BORA HIP HOP WA MUDA WOTE
@ALBERT MANGWEA
WIMBO BORA HIP HOP WA MUDA WOTE
@DARUBINI_ Afande Sele
WIMBO BORA HIP HOP WA KUSHIRIKIANA
@MTAZAMO_Sele+P.Jay+Sele
ALBUM BORA HIP HOP
@MACHOZI JASHO NA DAMU_P.Jay
MSANII BORA HIP HOP NYIMBO ZA UFAHAMU
@Bonta
MSANII BORA TUNGO SIMULIZI
@Jay moe
MSANII BORA WA FREESTYLE
@ALBERT MANGWEA
MSANII BORA KTK ENGLISH LANGUAGE
@Niki MBISHI
MSANII BORA MWENYE MITINDO MINGI
Fid Q
MTAYARISHAJI BORA HIP HOP
@P FUNK MAJANI
TUZO ZA HESHIMA
SUGU, MAJANI

Considered
 
Gheto ambassador P the Mc, Gifted son na kimbunga hizi mashine zingine The real one
 
kama stamina hayupo hakuna haja ya kuendelea na hizo tuzo...
Roma kabla ya kuimba kibamia ( kabla ya kutekwa ).. acheni ubinafsi
Stamina naye ni mwana muziki wa Hip Hop?
 
Wimbo bora wa hiphop wa muda wote ni "HAWATUWEZI" wa nako 2 nako
 
Zifuatazo ni tuzo za vipengele mbalimbali vya muziki wa Hip hop Tanzania.
Naombeni tupige kura baada ya wiki moja tutatoa tuzo.

MSANII BORA WA HIP HOP WA MUDA WOTE
1. Professor jay
2. Afande selle
3. FID Q
4. Mwana FA
5. Jay moe
6. Roho saba
7. Nikki mbishi
8. Joh Makini
9. Chid benz
10. Kala Jeremiah

WIMBO BORA WA HIP HOP WA MUDA WOTE
1. Mtazamo- Afande selle ft prof jay & sollo thang
2. Kikao cha dharura- prof jay
3. Bado nipo nipo- mwana FA
4. Proffesional- Fid Q
5. Mchizi wangu remix
6. Ukiskia paa remix
7. Alikufa kwa ngoma- mwana FA ft lady jay dee
8. Darubini- Afande selle
9. Classic - Nikki mbishi, stereo, one & Fid Q
10. Zubeda- prof jay
11. Propaganda- Fid q
12. Dar es salaam stand up- chid benz
13. Mwanza - fid q
14. Mathematics - Roma

WIMBO BORA WA KUSHIRIKIANA WA HIP HOP KWA MUDA WOTE
1. Mchizi wangu remix
2. Ukiskia paa remix
3. Ni hayo tu- Fid q
4. Mimi- Geez mabovu, Fid q, Jay moe, Chid benz
5. Mtazamo- afande selle ft prof jay & sollo thang
6. Ingekuwa vipi- jay moe ft mwana Fa
7. Classic material- one, Nikki, stereo & fid q
8. Kamba 2 kamba- mexicana la cavella

ALBUM BORA YA HIP HOP MUDA WOTE
1. Machozi, jasho na damu- prof jay
2. Ulimwengu ndio mama- jay moe
3. A.K.A Mimi-Ngwair
4. Propaganda- Fid q
5. Soga za mzawa- one incredible
6. Sam magoli- Nikki mbishi

MSANII BORA WA NYIMBO ZA UFAHAMU(CONSCIOUS MC)
1. Bonta
2. Kala Jeremiah
3. Afande selle
4. Dizasta vina
5. Prof jay

MSANII BORA KATIKA TUNGO ZA USIMULIZI (STORYTELLER)

1. Jay moe
2. Chindo
3. Dizasta vina
4. Prof jay

MSANII BORA WA MTINDO HURU (FREESTYLE).

1. Nikki Mbishi
2. Chid benz
3. Nchama the best

MSANII BORA KATIKA MAGHANI YA LUGHA YA KIINGEREZA

1. One incredible
2. Fid q
3. Jay moe
4. Nikki mbishi

MSANII WA HIP HOP MWENYE MITINDO MINGI YA KUGHANI
1. Stops rhymes
2. Joh makini
3. Fid q
4. One incredible

MTAYARISHAJI BORA WA MUZIKI WA HIP HOP WA MUDA WOTE
1. Duke
2. P funk majani
3. J rider
4. Palla midundo
5. Master jay
6. Cjamoker
7. Q the don

TUZO YA KUMBUKUMBU NA HESHIMA KWA MC’s WALIOTUTOKA.
Mangwair, Langa, Complex & Godzilla.

TUZO ZA HESHIMA
Tuzo za heshima zitatolewa kwa waasisi wa muziki huu ambao hawajawekwa kwenye kategoria za kushindanishwa.

TUPIGENI KURA SASA
MWISHO WA KUPIGA KURA NI JUMANNE IJAYO.
INA MAANA KATIKA KATEGORIA ZOTE HIZO #MAN_FONGO HAYUPO ?!?!
 
Aiseeee kipindi hicho. . . BINGWA ZA BONGO. . yani unatamani nyimbo zote uzisikilize
. . GK , mnyaru , sugu , nature , o ten , dulayo , 2berry , jay d , nura , k lyni , temba , chege , mchizi mox , zey b , q chief , mez b , bushoke , suma lee , suma g , watv pori , wakali kwanza , dulayo. . .
wakati mmoja
 
Back
Top Bottom