Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,345
- 5,718
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Wacha Upumbavu Andika Magufuli kama itaendaNyani Ngabu, Bia yetu, johnthebaptist , Pascal Mayalla na CCM wote, Kama kweli MAGUFULI Ni chaguo la Mungu, na anapendwa sana na amefanya mambo makubwa, hizi figisu ni za Nini?
Kuanzia saa sita usiku, hamna kutoa hela kwenye account yako, iwe kwa ATM card au kwa kuhamisha salio.
CCM inatetemeka
Binafsi nimajaribu. Meseji hiyo hiyo nikibadilisha jina na kuweka Magufuli inaenda. Niki-edit na kuweka Tundu Lissu haiendi! Hili ni mojawapo ya mambo ya hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa kwenye siasa za vyama vingi hapa nchini! Ni AIBU, to say the least!Wacha Upumbavu Andika Magufuli kama itaenda
Mbona viherehere sana
Jaribu John Pombe Magufuli na si Magufuli!Binafsi nimajaribu. Meseji hiyo hiyo nikibadilisha jina na kuweka Magufuli inaenda. Niki-edit na kuweka Tundu Lissu haiendi!! Hili ni mojawapo ya mambo ya hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa kwenye siasa za vyama vingi hapa nchini! Ni AIBU, to say the least!!
Bwashee punguza uwoga!Nyani Ngabu, Bia yetu, johnthebaptist , Pascal Mayalla na CCM wote, Kama kweli MAGUFULI Ni chaguo la Mungu, na anapendwa sana na amefanya mambo makubwa, hizi figisu ni za Nini?
Kuanzia saa sita usiku, hamna kutoa hela kwenye account yako, iwe kwa ATM card au kwa kuhamisha salio.
CCM inatetemeka
Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Unafatilia sana mambo ya Tanzania mpaka mnakufa njaa
We jamaa ni mgeni katika dunia hii?Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?