Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni hata hujielewiSasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Ndio akili yako ilipoishiaWewe ni hata hujielewi
Ni propaganda za kishamba sema hau sms halafu unatuma sms , hata iweje Watanzania sasa hv wengi wanajielewa hakuna mtu mwenye akili timamu atakae mchagua mjerumani cjui mbeligiji amabae mwezi nzima ajaahidi atajenga nini zaidi ya kutangaza atasimamia haki na sheria tu bc cjui huyo mtu wa mjini na vijijini cjui kama zinamsaidia hizo sheria za mahakamani
Kilaba is to be exempted when time is ripe!
Tumeshatiwa doa jeusi
mwaka huu mtakula mapumbu nawaambiaWacha Upumbavu Andika Magufuli kama itaenda
Mbona viherehere sana
@Vodacom Tanzania mnatumika kisiasa mmekosa credibilityBinafsi nimajaribu. Meseji hiyo hiyo nikibadilisha jina na kuweka Magufuli inaenda. Niki-edit na kuweka Tundu Lissu haiendi!! Hili ni mojawapo ya mambo ya hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa kwenye siasa za vyama vingi hapa nchini! Ni AIBU, to say the least!!
TCRA ni ya nyanya ako???Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Kama kichaa yani ukisikia Jambo tu unashabikia we una uhakika? Mimi ninatumia voda mbona sms zimeenda nimejaribu jana hizo ni propaganda alikua hana sms ndio maana haijaendaAfrika tuna matatizo lakini haya ya Tanzania ni too much, hii ni kali ya mwaka, yaani hehehehe!!!