Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sio woga, nyie ndio mna mchecheto, nikupe screenshot?Bwashee punguza uwoga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio woga, nyie ndio mna mchecheto, nikupe screenshot?Bwashee punguza uwoga!
Mbona mimi kwangu zinaenda zote bila kipingamizi?Jaribu John Pombe Magufuli na si Magufuli!
Au andika Tundu uone tofauti
Punguza jazba, mbona TCRA wameshatolea ufafanuzi?, tatizo lenu mnaogopa hadi vivuli vyenuAlafu tunashangaa watu wanakosa Uzalendo na nchi yao, kumbe wachache ndio wanatengeneza watu wa namna hio, huwezi kuonea baadhi ya watu alafu ukategemea kusiwe na reaction, Tanzania ya wachache haiwezi kuwa Tanzania ya WENGI.
unadhani wamejitungia?Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
kutolewa ufafanuzi ndio kunaondoa tatizo lililotendeka? Kwahio kila jambo bovu likifanyika likitolewa ufafanuzi basi linaondoa ubovu uliofanyika?Punguza jazba, mbona TCRA wameshatolea ufafanuzi?, tatizo lenu mnaogopa hadi vivuli vyenu
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Huyu mwanaharakati muongo ndio source ya nyuzi zako!
Achana na hao Malalamiko FCWacha Upumbavu Andika Magufuli kama itaenda
Mbona viherehere sana
Kuna mdau ameonyesha hapo kwamba hata akituma neno Magufuli pia inagoma. Mimi nikutuma sasa hivi majina yote mawili inakubali. Kwanini mpo very suspicious kiasi hicho?, kila kitu mnahisi kuonewa,, coal down, hii ni technolojia mpya huku Africa, bado kuna changamoto zake.kutolewa ufafanuzi ndio kunaondoa tatizo lililotendeka? Kwahio kila jambo bovu likifanyika likitolewa ufafanuzi basi linaondoa ubovu uliofanyika ?
By the way ufafanuzi wa temporary suspension of bulk sms unaendana vipi na kutuma neno Tundu Lissu ?, au Tundu Lissu ni Bulk SMS hata ukituma sms moja na wengine hawana hio Bulkiness?
Usipoelewa utakuwa na haja kichwani.Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Acha malalamiko yasiyo na maana umejaribu kutuma jina la Magufuli likaenda? Wakati mwingine tumieni akili zenu mlizopewa na Mungu vizuri kuliko kushikiwa akili na wanaharakati.Alafu tunashangaa watu wanakosa Uzalendo na nchi yao..., kumbe wachache ndio wanatengeneza watu wa namna hio..., huwezi kuonea baadhi ya watu alafu ukategemea kusiwe na reaction...., Tanzania ya wachache haiwezi kuwa Tanzania ya WENGI.......
Hawa watu lengo lako ni kuleta taharuki tuMbona mimi kwangu zinaenda zote bila kipingamizi?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ndio ni kwa maelekezo ya serikali ya Tanzania...Serikali ina regulator wa mawasiliano...Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Huna salio kwenye simu....Yaani wewe leo utapigwa spana kwenye nyuzi zako zote utakazofungua kwa sababu hauna akili ya kufikiri,
Nimejaribu muda huu kuandika JOHN POMBE MAGUFULI nikatuma ikagoma kwenda,
Nikaandika pia TUNDU LISSU nikatuma ikagoma kwenda,
Kama nadanganya atokee Mtanzania yoyote ajaribu kama mimi,
Ukiambiwa wacha kufanya page za wanaharakati uchwara source za nyuzi zako husikii...ona sasa unapigwa spana bure. View attachment 1610301
Huko duniani gani jamaa,wakati Jiwe anasema alidukua mawasiliano ya Lisu,na watu wa Barrick,unafikiri aliwezaje,kwa taarifa yako,TCRA,Wana mitambo yao imefungwa kwenye kila network,wanaona kila sms inayotumwa.Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?
Kuna mdau ameonyesha hapo kwamba hata akituma neno Magufuli pia inagoma. Mimi nikutuma sasa hivi majina yote mawili inakubali. Kwanini mpo very suspicious kiasi hicho?, kila kitu mnahisi kuonewa,, coal down, hii ni technolojia mpya huku Africa, bado kuna changamoto zake.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Acha malalamiko yasiyo na maana umejaribu kutuma jina la Magufuli likaenda? Wakati mwingine tumieni akili zenu mlizopewa na Mungu vizuri kuliko kushikiwa akili na wanaharakati.
Sasa atasemaje serikali ya Tanzania? Kwani haya makampuni yanatoa huduma kwa maelekezo ya serikali?