Tanzania Haijashinda Medali yoyote Olympics kwa takriban miaka 40. Shida iko wapi?

Tanzania Haijashinda Medali yoyote Olympics kwa takriban miaka 40. Shida iko wapi?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Ikiwa Mashindano ya Olympics yamemalizika leo Agosti 11, 2024 Wawakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya Olympics nchini Ufaransa watarejea nchini bila ushindi wa Medali yoyote

Tanzania ilipeleka timu ya Wanariadha 7 kwenye Mashindano hayo

Aidha mara ya mwisho Tanzania kupta Medali ya fedha kupitia mwanariadha Filbert Bayi na Suleimani Nyambui mwaka 1980.

Soma Pia: Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris

Mdau unadhani ni hatua gani zichukuliwe ili Tanzania iweze kuchukua medali ikishiri tena Mashindano haya 2028?
 
Ikiwa Mashindano ya Olympics yamemalizika leo Agosti 11, 2024 Wawakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya Olympics nchini Ufaransa watarejea nchini bila ushindi wa Medali yoyote

Tanzania ilipeleka timu ya Wanariadha 7 kwenye Mashindano hayo

Aidha mara ya mwisho Tanzania kupta Medali ya fedha kupitia mwanariadha Filbert Bayi na Suleimani Nyambui mwaka 1980

Mdau unadhani ni hatua gani zichukuliwe ili Tanzania iweze kuchukua medali ikishiri tena Mashindano haya 2028?
Lengo kuu huwa ni kushiriki. Kushinda sio moja kati ya mikakati yetu.

Mashindano wahudhuriaji wengi ni "kamati ya maandalizi" badala ya washiriki wa mashindano.

Selection, ni ileile. Mtoto wa dada anakimbiza hadi kuku usimuone vile
 
Ikiwa Mashindano ya Olympics yamemalizika leo Agosti 11, 2024 Wawakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya Olympics nchini Ufaransa watarejea nchini bila ushindi wa Medali yoyote

Tanzania ilipeleka timu ya Wanariadha 7 kwenye Mashindano hayo

Aidha mara ya mwisho Tanzania kupta Medali ya fedha kupitia mwanariadha Filbert Bayi na Suleimani Nyambui mwaka 1980

Mdau unadhani ni hatua gani zichukuliwe ili Tanzania iweze kuchukua medali ikishiri tena Mashindano haya 2028?
Medali hazidondoki. Zinapatikana kwa matayarisho na commitment ya hali ya juu ambayo CCM hawana. Kama kungekuwa na medali zinazotolewa kwa kigezo cha ufanisi wa serikali basi hali ingekuwa hivyo hivyo.
 
The real life needs some sorts of seriousness. Ukiona nchi ina watu wanatoka kimaisha na hawko serious basi tambua kuna tatizo la msingi na watu hao usitarajie wakawa serious kwenye mambo makubwa kama hayo. In short, hatujielewi kabisa.
 
Tumeshindwa na nchi ambazo hazina hata watu... Singapore...
Cyprus...kuna vinchi vidogoo ila vimepta medali...Sisi tuna ujinga mwingi Sana...

Mtapata medali na waziri ndo huyu Ngumbaro?
 
Suluhisho ni kurudisha michezo mashuleni na kuwepo mashindano ya mara Kwa mara kuanzia ngazi ya wilaya hadi kitaifa.Pia viongozi wa wizara ya michezo waache ukiritimba,maana inasemekana kuipata hiyo nafasi ya kwenda Olympic hadi utoe rushwa.
 
Hata mbuyu ulikuwa kama mchicha hatuwezi kufika mbali bila maandalizi mazuri ya viwanja vya michezo toka huku cihini.
 
Tumeshindwa na nchi ambazo hazina hata watu... Singapore...
Cyprus...kuna vinchi vidogoo ila vimepta medali...Sisi tuna ujinga mwingi Sana...

Mtapata medali na waziri ndo huyu Ngumbaro?
Tatizo ni beyond Ndumbaro

It’s 40 years now bila medal

Kuna watu pale Kama bayi, tandau rtc

Hakuna kitu
 
Ikiwa Mashindano ya Olympics yamemalizika leo Agosti 11, 2024 Wawakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya Olympics nchini Ufaransa watarejea nchini bila ushindi wa Medali yoyote

Tanzania ilipeleka timu ya Wanariadha 7 kwenye Mashindano hayo

Aidha mara ya mwisho Tanzania kupta Medali ya fedha kupitia mwanariadha Filbert Bayi na Suleimani Nyambui mwaka 1980

Mdau unadhani ni hatua gani zichukuliwe ili Tanzania iweze kuchukua medali ikishiri tena Mashindano haya 2028?
Fungu la kukosa hili
 
Back
Top Bottom