Kwanini hao wazee wasiondolewe hapo hata kwa kutumia nguvu maana hakuna chochote walichokifanya cha maana?.... hii nchi bhana.Tatizo kubwa ni viongozi wa riadha hasa hivi vizee vya TOC, Filbert Bayi ( huyu hataki mtu avunje rekodi yake ya uwanjani) , kuna kizee kingine kinaitwa Henry Tandau ( hiki kina kiburi sana na kujifanya kinawajua viongozi wote) na Ghulam Rashid wa Zabzibar.
Hivi vizee ni tatizo kubwa kwenye riadha tanzania
Yaani mtu anatumia wadhifa alionao kufanya jitihada za kuhakikisha kwamba hakuna mtu aneyevunja record yake? Wakati malegends wa maana kama wakina Usein Bolt huko kwao wanafungua marathon clinics hili wapate wakina Usein bolts wengine hapo baadae...!!?
Kweli mbongo ni mtu mwenye roho ya kishetani sana na ndio maana hata taifa hili limelaaniwa kwenye michezo