Tanzania haikuwa colony bali protectorate chini ya muingereza. Nini tofauti ya colony na protectorate?

Tanzania haikuwa colony bali protectorate chini ya muingereza. Nini tofauti ya colony na protectorate?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Baada ya vita ya kwanza ya dunia, league of nations wakaiweka Tanzania kuwa protectorate chini ya muingereza. Sasa kuwa namna hii na kuwa koloni kama zilivyokuwa Kenya na Uganda kuna tofauti gani?

Nini faida tulizopata na hasara tulizopata ukilinganisha na makoloni kama Uganda na Kenya?
 
Baada ya vita ya kwanza ya dunia, league of nations wakaiweka Tanzania kuwa protectorate chini ya muingereza. Sasa kuwa namna hii na kuwa koloni kama zilivyokuwa Kenya na Uganda kuna tofauti gani?

Nini faida tulizopata na hasara tulizopata ukilinganisha na makoloni kama Uganda na Kenya?
baada ya vita ya kwanza ya dunia leagu of nations yaliwapokonya makoloni mataifa yaloshindwa vita na kuyaweka chini ya uangalizi wa mataifa yaloshinda kama uingereza, ufaransa, ubelgiji na nk... tofauti kubwa iliyopo haya mataifa yaliyokua chini ya uangalizi uhuru wao walikua wanaudai league of nations.
 
baada ya vita ya kwanza ya dunia leagu of nations yaliwapokonya makoloni mataifa yaloshindwa vita na kuyaweka chini ya uangalizi wa mataifa yaloshinda kama uingereza, ufaransa, ubelgiji na nk... tofauti kubwa iliyopo haya mataifa yaliyokua chini ya uangalizi uhuru wao walikua wanaudai league of nations.
Kwa hiyo mtawala wetu alikuwa ni league of nations?
 
Uganda haikuwahi kuwa colony la Muingereza ila ilikua protectorate. Kukosa uwelewa kwa Waganda, Waingereza walitawala kama koloni.

Ni Kenya tu Waingereza hawakutegemea kuondoka.
 
Baada ya vita ya kwanza ya dunia, league of nations wakaiweka Tanzania kuwa protectorate chini ya muingereza. Sasa kuwa namna hii na kuwa koloni kama zilivyokuwa Kenya na Uganda kuna tofauti gani?

Nini faida tulizopata na hasara tulizopata ukilinganisha na makoloni kama Uganda na Kenya?
Tanzania haikuwahi kuwa koloni wala protectorate ya muingereza, ila Tanganyika na Zanzibar zilikuwa.

Tanganyika ilikuwa koloni la ujeremani wakati Zanzibar ikiwa ni himaya ya Sultani was Oman.

Baada ya wajerumani kushindwa vita vya pili vya Dunia, Tanganyika iliwekwa chini ya usimamizi wa muingereza hadi alipokabidhiwa Nyerere kupitia ufadhili wa TANU.
 
Tanganyika haijawahi kua-protectorate colony ... chini ya muingereza ilikua ni mandate colony baadae ikaja kuitwa trusteeship colony chini ya trusteeship committee ya umoja wa mataifa
 
Uganda haikuwahi kuwa colony la Muingereza ila ilikua protectorate. Kukosa uwelewa kwa Waganda, Waingereza walitawala kama koloni.

Ni Kenya tu Waingereza hawakutegemea kuondoka.
Kuitwa protectorate, crown colony ni majina tu tofauti kiutendaji ilikua ndogo sana
 
Uganda haikuwahi kuwa colony la Muingereza ila ilikua protectorate. Kukosa uwelewa kwa Waganda, Waingereza walitawala kama koloni.

Ni Kenya tu Waingereza hawakutegemea kuondoka.
Na UGANDA 🇺🇬, protectorate ilikua ni kingdom moja tu ya Buganda nyingine zote hazikua na hiyo favour
 
Mzungu hawekezi pesa bila kuwa na uhakika wa political stability. Afrika Kusini, baada ya Mandela kushinda uchaguzi. Wazungu walitoa pesa nyingi kwenye uwekezaji na kuzipeleka Australia.
Mbona wamewekeza DRC na vita kila kukicha ? Waliondoa SA kwakuhofia nationalization na sio kuogopa political instability
 
Tanganyika haijawahi kua-protectorate colony ... chini ya muingereza ilikua ni mandate colony baadae ikaja kuitwa trusteeship colony chini ya trusteeship committee ya umoja wa mataifa
Mandate colony inamaanisha nini?
 
Dunia ilifanya makosa sana kutuondoa kwa mjerumani.
Ni baada ya ujeremani kushindwa vita ndipo makoloni yake yalipolazimika kugawanywa, vinginevyo ujeremani ilikuwa na mipango thabiti ya kudumu kimaendeleo.

Ukitaka kuona na kuamini kazi na alama za mjeremani tembelea yaliyokuwa makoloni yake ambayo ni Tanganyika, Namibia na Cameroun.
 
Back
Top Bottom