Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Baada ya vita ya kwanza ya dunia, league of nations wakaiweka Tanzania kuwa protectorate chini ya muingereza. Sasa kuwa namna hii na kuwa koloni kama zilivyokuwa Kenya na Uganda kuna tofauti gani?
Nini faida tulizopata na hasara tulizopata ukilinganisha na makoloni kama Uganda na Kenya?
Nini faida tulizopata na hasara tulizopata ukilinganisha na makoloni kama Uganda na Kenya?