kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Wazee wa HGL uwanja wenu huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So kwenye haki na utawala hayana tofauti na makoloni asilia?Ni makoloni yote yaliyokua ya ujerumani kabla vita vya kwanza ... yaliyochukuliwa chini ya uangalizi wa nchi zilizoshinda vita
Hakukua na tofauti kubwa kitu unyonyaji ulikua ni uleuleSo kwenye haki na utawala hayana tofauti na makoloni asilia?
Kenya wanaioverrate sana kuliko uhalisia wenyewe .Kenya wameendelea nini!?..ulishafika?!..watu hawawezi kujilisha wenyewe unasema wameendelea!!..barabara mbovu,kula shida
Uko sahihi kabisa. Mkataba wa Buganda wa 1900 ulikuwa baina ya Waganda(Abaganda)waliowakilishwa na Kabaka Daudi Chwaa na Waingereza waliowakilishwa na Sir Harry Johnston gavana wa kwanza wa Kiingereza Uganda. Kwahiyo hizo falme nyingine hazikuwemo kwenye mkataba huo. Hilo limeendelea kuitesa Uganda mpaka leo Waganda halisi hawa wa Kabaka ambalo huwadharau sana hizi jamii nyingine. Na hata wakati wa ukoloni wao walipendelewa kuliko jamii nyingine. Leo Museveni ambaye ni Mnyankore toka Mbarara nguvu aliyobaki nayo ni vyombo vya ulinzi lakini waganda wa Buganda wana kila kitu.Na UGANDA 🇺🇬, protectorate ilikua ni kingdom moja tu ya Buganda nyingine zote hazikua na hiyo favour
Iwe tulikuwa nani au nini doesn't make sense now...Baada ya vita ya kwanza ya dunia, league of nations wakaiweka Tanzania kuwa protectorate chini ya muingereza. Sasa kuwa namna hii na kuwa koloni kama zilivyokuwa Kenya na Uganda kuna tofauti gani?
Nini faida tulizopata na hasara tulizopata ukilinganisha na makoloni kama Uganda na Kenya?
Tungelikuwa mbaliDunia ilifanya makosa sana kutuondoa kwa mjerumani.