GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Miaka 60 baada ya uhuru, bado hatuna miundombinu iliyo bora kuifanya nchi angalau kutajwa tu kati ya nchi kadhaa zinazofanya vizuri kwenye barabara.
Pamoja na kuwa na taasisi kama Tanroad na sasa Tarura bado hatujengi barabara zinazoweza kutolewa mifano.
Kwenye maliasili ghafi kama dhahabu, almasi, tanzanite pia hakuna popote tunapotajwa zaidi ya tambo kutoka kwenye vinywa vyetu na wanasiasa wetu.
Hivi Tanzania kama nchi tunaweza nini?.