Tanzania haimo kwenye nchi kumi zenye miundombinu bora Afrika!

Tatizo lenu mna inferiority complex na mnaingiza siasa katika kila kitu. Tanzania imepiga hatua kubwa sana katika ujenzi wa barabara na katika nchi za Afrika, ipo top 10 kwa kushika namba 9. Huo ndiyo ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…