R Ruble JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 845 Reaction score 1,579 Apr 17, 2023 #21 Kinyungu said: Senegal inawezaje kuwa na miundombinu mizuri kuliko Tanzania? Hii list ni fake Click to expand... Umewahi kufika Senegal? Unless unatania.
Kinyungu said: Senegal inawezaje kuwa na miundombinu mizuri kuliko Tanzania? Hii list ni fake Click to expand... Umewahi kufika Senegal? Unless unatania.
mapesa yamejaa JF-Expert Member Joined Dec 29, 2021 Posts 1,412 Reaction score 3,419 Apr 17, 2023 #22 Bemendazole said: Tz ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani. Huwezi kuijenga nchi yote kirahisi ivyo... Click to expand... Kama ukubwa ni sababu basi marekani ingekuwa nchi masikini zaidi ya Tanzania.
Bemendazole said: Tz ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani. Huwezi kuijenga nchi yote kirahisi ivyo... Click to expand... Kama ukubwa ni sababu basi marekani ingekuwa nchi masikini zaidi ya Tanzania.
H HIKARI JF-Expert Member Joined Aug 7, 2022 Posts 643 Reaction score 804 Apr 17, 2023 #23 YNIM said: Tatizo lenu mna inferiority complex na mnaingiza siasa katika kila kitu. Tanzania imepiga hatua kubwa sana katika ujenzi wa barabara na katika nchi za Afrika, ipo top 10 kwa kushika namba 9. Huo ndiyo ukweli. Click to expand...
YNIM said: Tatizo lenu mna inferiority complex na mnaingiza siasa katika kila kitu. Tanzania imepiga hatua kubwa sana katika ujenzi wa barabara na katika nchi za Afrika, ipo top 10 kwa kushika namba 9. Huo ndiyo ukweli. Click to expand...
Accumen Mo JF-Expert Member Joined May 15, 2022 Posts 18,036 Reaction score 39,882 Apr 17, 2023 #24 Haimo ndo nn?