ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Punguza kuwa nabii wa majanga (prophet of doom). SSH ameamua kuongeza mishahara ni suala zuri kuliko kuumiza mamilioni ya watu wakaishi kwa vinyongo wakati maisha haya ni mafupi.
Unazilipiaje? Wewe na wenzako kwenye serikali hii? Mtuambie. Ni rahisi sana kumuita mtu majina ukikosa majibu.
Hakuna binadamu , Mtanzania ambaye hapendi Watanzania wote wawe na maisha mazuri.
Mapato yanapungua, matumizi yanaongezeka.
Tuonyeshe hizi pesa zitatoka wapi, mikopo? Kodi zingine zaidi?