Dah.....bado nasisitiza.....kuna umuhimu wa kuchanganya damu na mataifa mengine....serikali ingedhamini mabinti angalau 1000....waende kwenye mataifa mengine.....labda miaka 20 ijayo tutakuwa tunafikiri na kutenda tofauti na sasa,,,,,,🤣🤣🤣🤣🤭Hahaha unajua kuna mambo unaweza kutazama unabaki kucheka tu unajiuliza hii watu wanafanya siasa au ni kweli ndio uwezo wao wa kufikiri!!!?....sisi waafrica tuna ulemavu wa akili hayo ni maumbile mkuu.
Sisi hatufanani kabisa na aina nyingine za binadamu ni hivyo tu ukisema unaweza onekana sio.
Tatizo jingine kubwa zaidi ni kuwaza kuwa siasa ni uongo, udanganyifu, ghiliba bila uhalisia.Hahaha unajua kuna mambo unaweza kutazama unabaki kucheka tu unajiuliza hii watu wanafanya siasa au ni kweli ndio uwezo wao wa kufikiri!!!?....sisi waafrica tuna ulemavu wa akili hayo ni maumbile mkuu.
Sisi hatufanani kabisa na aina nyingine za binadamu ni hivyo tu ukisema unaweza onekana sio.
Hii serikali siyo ya maneno, ni ya vitendo. Uliza walosight ndo utajua ukweli wanguMkuu
Mi Binafsi sioni tena kutangazwa bkwa miradi ile mikubwa ya kimkakati!
Sijui nini kumetokea hadi sasa!
NAJIULIZA
Mwenye majibu naomba!!
MbonaHii serikali siyo ya maneno, ni ya vitendo. Uliza walosight ndo utajua ukweli wangu
Mwendazake alikuwa anajua hela zake, mishahara alikuwa anaongeza kwa wafanyakazi wa mabarabara tuWatu wa mwendazake inawauma maana mpendwa wao anaumbuka mama anaongeza mishahara na kazi zinaendelea
Failures mna excuses nyingi sana..Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.
Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.
Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.
Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.
Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!
Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!
Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!
Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!
Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!
Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!
Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Hahaa! Unamuangalia uhuru kuijaji tanzania??!! Mishahara ilikuwa haijapanda kwa muda gani? Unaweza kukuta uhuru alichokipandisha ndani ya miaka yake ni zaidi ya 23.3%. Kwani ktk hesabu zako ongezeko hilo ni sawa na kiasi gani kwa mwaka mzima?Huo ndo ukweli mchungu. That increment is huge money.
Hata mtukate tozo kila upande can't afford that arrears.
Uhuru aliongeza kwa 12% nchi yenye uchumi mkubwa.
Hapa kwetu tunategemea royo tuwa.
Yako wapi makokotoo ya mishaharaRoho mbaya imekujaa.
Wafanyakazi walipokaa miaka 7 Bila kuongezewa Chochote Ndio maendeleo yalikuja?