Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Umeandika ujinga tupu, hao watumishi hawafanyi kazi ya kanisa, wanastahili kupata kipato Cha kuwafanya waendeleze maisha yao, na kipato hicho kitaingia mtaani na kitazunguka na serikali itapata faida
Tatizo moja tu kwako, wewe unatetea na mwenzako kaandika fact na hoja zenye nguvu!

Tumia vema ubongo na hata kama ni kweli umeongezewa mshahara,
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Ili wage bill increment hiyo ya kuwalipa wafanyakazi ipatikane, serikali inahitaji kufanya yafuatayo:
✓ Punguza matumizi serikalini
• Punguza mishahara ya mawaziri
• Punguza ununuzi wa magari ya kifahari

✓ Punguza matumizi bungeni
• Wabunge punguza mishahara yao na posho
• Punguza expense unnecessary kwa wabunge

✓ Serikali izuie mianya yote ya wizi wa hela serikaln
• Bunge litunge sheria na kiundwe chombo huru cha kufuatilia matumizi ya serikali na sheria hizo zilenge kuwajibisha yeyote akiwapo raisi endapo atafuja hela, ashitakiwe kwa kesi isiyo na dhamana.

✓ Bana kodi, wote wakwepa kodi waanza kulipa kodi bila kuchekeana, akiwepo "muzee" naye alipe kodi kwenye biashara zake kubwa.

Nakuhakikishia itapatikana hela mpaka chenji zitabaki ya kuwaongezea zaidi waalimu wa shule za msingi posho n.k
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Kwa akili ndogo unaweza gundua ili kama mapato yetu kabla ya ongezeko la mishahara ni trilioni 1.5.... ni wazi kuwa baada ya ongezeko hata mapato ya nchi yanaweza kuongezeka kwa kiasi kadhaa.
 
Ili wage bill increment hiyo ya kuwalipa wafanyakazi ipatikane, serikali inahitaji kufanya yafuatayo:
✓ Punguza matumizi serikalini
• Punguza mishahara ya mawaziri
• Punguza ununuzi wa magari ya kifahari

✓ Punguza matumizi bungeni
• Wabunge punguza mishahara yao na posho
• Punguza expense unnecessary kwa wabunge

✓ Serikali izuie mianya yote ya wizi wa hela serikaln
• Bunge litunge sheria na kiundwe chombo huru cha kufuatilia matumizi ya serikali na sheria hizo zilenge kuwajibisha yeyote akiwapo raisi endapo atafuja hela, ashitakiwe kwa kesi isiyo na dhamana.

✓ Bana kodi, wote wakwepa kodi waanza kulipa kodi bila kuchekeana, akiwepo "muzee" naye alipe kodi kwenye biashara zake kubwa.

Nakuhakikishia itapatikana hela mpaka chenji zitabaki ya kuwaongezea zaidi waalimu wa shule za msingi posho n.k
Hivi miaka yote serikali ilipokua inaongeza mishahara ilipunguza hayo matumizi?
 
Ni Mara Mia kushusha Bei za mafuta kuliko hyo elf 46 mnaongezewaaa na kwa akili za madelu ataona kuwa kiuchumi amewin kupandish mshara dhid ya Bei ya mafuta .Anangangania Bei ya wese as if kwamba ndio njia pekee ya kupata pesa huyu wazir Ni hoplesss kbsa cjui udsm walifikiria nn ki honored hyo phd
Bei ya weze hatuna uwezo wa ku control kama nchi.

Watu wapeww mishahara mizuri mzunguko wa hela uongezeke mitaani, ma house boy tuwaongezee pesa na house girls, tuwe na shughuli mbadala za kufanya tulipe kodi serikali ipate mapato
 
Ili wage bill increment hiyo ya kuwalipa wafanyakazi ipatikane, serikali inahitaji kufanya yafuatayo:
✓ Punguza matumizi serikalini
• Punguza mishahara ya mawaziri
• Punguza ununuzi wa magari ya kifahari

✓ Punguza matumizi bungeni
• Wabunge yao na posho
• Punguza expense unnecessary kwa wabunge

✓ Serikali izuie mianya yote ya wizi wa hela serikaln
• Bunge litunge sheria na kiundwe chombo huru cha kufuatilia matumizi ya serikali na sheria hizo zilenge kuwajibisha yeyote akiwapo raisi endapo atafuja hela, ashitakiwe kwa kesi isiyo na dhamana.

✓ Bana kodi, wote wakwepa kodi waanza kulipa kodi bila kuchekeana, akiwepo "muzee" naye alipe kodi kwenye biashara zake kubwa.

Nakuhakikishia itapatikana hela mpaka chenji zitabaki ya kuwaongezea zaidi waalimu wa shule za msingi posho n.k

100% uko sawa.
 
Tatizo moja tu kwako, wewe unatetea na mwenzako kaandika fact na hoja zenye nguvu!

Tumia vema ubongo na hata kama ni kweli umeongezewa mshahara,
Hapo hakuna fact yoyote,anajaza servers za JF tu
 
Jana nilimsoma sana jamaa mmoja wa kuitwa DINHO, nikaijuliza serikali ina mapato gani ili kuweza kuongeza 23.3% flat rate. Yaani anywpata 3,000,000 aongezewe 23.3% sawa na yule wa 270,000? Kwamba mtu wa 3mil aongezewe almost 700k kweli? Kwa uchumi gani tulionao.

Mleta mada naamini upo sahihi kabisa. It'll never be flat rate, lakini pia huo uchumi wetu ni mdogo sana.
Iko hivi!

IMG-20220515-WA0028.jpg
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Eti mtu anashangilia kuongezeka kwa 23% this is pure poverty mentality.
Tujadili ni namna gani
1) tutabana matumizi ya serikali
2) dhibiti upotevu wa fedha Report ya CAG
3) kuongeza mapato ya nchi
4) kusbsidize hudumu muhimu
5) kupunguza inflation
 
Mishahara ni sehemu ya fiscal policy and monetary policy kwa sehemu. Wewe unataka kuleta classical economics pekee na kidogo Macro economics.

Wage na employment zina sehemu pia katika kuchangia uzalishaji.
Wewe unataka underemployment ambayo haina nafasi katika uchumi.
Kwa nchi zetu ambazo middle class ni ndogo au hakuna kabisa, namna pekee ya kuboresha purchasing power(kufungua vyuma) ni kwa kuongeza mishahara kila mwaka.
Kwa namna hiyo itasaidia kutengeneza wajasiriamali wadogo na watu wa kujitanua kidogo.
Waajiriwa wa nchi wamebeba sehemu kubwa ya maskini wengine.
Ukiongeza mishahara maanake na PAYE inaongezeka na hivyo TRA kukusanya zaidi.
Utopia mlisoma shule gani?
 
Ili wage bill increment hiyo ya kuwalipa wafanyakazi ipatikane, serikali inahitaji kufanya yafuatayo:
✓ Punguza matumizi serikalini
• Punguza mishahara ya mawaziri
• Punguza ununuzi wa magari ya kifahari

✓ Punguza matumizi bungeni
• Wabunge punguza mishahara yao na posho
• Punguza expense unnecessary kwa wabunge

✓ Serikali izuie mianya yote ya wizi wa hela serikaln
• Bunge litunge sheria na kiundwe chombo huru cha kufuatilia matumizi ya serikali na sheria hizo zilenge kuwajibisha yeyote akiwapo raisi endapo atafuja hela, ashitakiwe kwa kesi isiyo na dhamana.

✓ Bana kodi, wote wakwepa kodi waanza kulipa kodi bila kuchekeana, akiwepo "muzee" naye alipe kodi kwenye biashara zake kubwa.

Nakuhakikishia itapatikana hela mpaka chenji zitabaki ya kuwaongezea zaidi waalimu wa shule za msingi posho n.k
Wajuaji mko wengi ila mko weupe kichwani Sana..
 
Eti mtu anashangilia kuongezeka kwa 23% this is pure poverty mentality.
Tujadili ni namna gani
1) tutabana matumizi ya serikali
2) dhibiti upotevu wa fedha Report ya CAG
3) kuongeza mapato ya nchi
4) kusbsidize hudumu muhimu
5) kupunguza inflation
Leta mapendekezo yako juu ya ulicho andika
 
Eti mtu anashangilia kuongezeka kwa 23% this is pure poverty mentality.
Tujadili ni namna gani
1) tutabana matumizi ya serikali
2) dhibiti upotevu wa fedha Report ya CAG
3) kuongeza mapato ya nchi
4) kusbsidize hudumu muhimu
5) kupunguza inflation
Maneno ya wakosaji 😆😆
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Kwani hizi hela wafanyakazi wataweka kwenye sandarusi makwao???
 
Umekariri makaratasi bila hata kujua chanzo cha hiyo inflation..

Turkey kwa mfano inflation ilikuwa 55% na Rais kaongeza minimum wage kwa 50% ..

Ni hatari sana kwa Taifa kuwa na wanaojiita wanauchumi waliokariri vitabu bila kuwa na uwezo wa kuchanganua..

Nikuulize je inflation ya Tanzania imesababishwa na nini? Je husikii kwamba pesa haipatikani mtaani? Unajua sababu?
Wewe ambaye hukukariri unataka kujiendesha kwa kuiga mambo hovyo hovyo bila kujua madhara yake iwapo role model yako ni Turkey. Huyo jamaa Ergodan kapandisha mishahara hiyo kwa sababu za kisiasa tu, siyo kwa sababu za kiuchumi. Yeye ni mtawala mmoja corrupt sana ambaye yuko madarakani kwa mabavu tu na anabana sana vyama vya upinzani. Ingawa uchumi wa Turkey siyo mbaya, lakini kutokana na corruption kuna fedha nyingi sana mitaani inayosababisha inflation iwe juu sana. Wakati anapandisha mishahara hiyo kwa kudai kuwasaidia wafanyakazi kutokana na inflation ambyo wakati huo ilikuwa 54%, ndipo inflation ikapanda zaidi na sasa hivi ni 70%. Kama huo ndio mfano unaiga, basi bado tuna safari ndefu sana. Turkey imekataliwa kuingia kwenye European Union kwa sababu hiyo.
 
Umekariri makaratasi bila hata kujua chanzo cha hiyo inflation..

Turkey kwa mfano inflation ilikuwa 55% na Rais kaongeza minimum wage kwa 50% ..

Ni hatari sana kwa Taifa kuwa na wanaojiita wanauchumi waliokariri vitabu bila kuwa na uwezo wa kuchanganua..

Nikuulize je inflation ya Tanzania imesababishwa na nini? Je husikii kwamba pesa haipatikani mtaani? Unajua sababu?
I hope unalipwa
 
Ukikuta deni la nchi $42.1 billion na tumewekwa as moderate risks kwa zaidi ya miaka 10.

Ukalishusha deni ndani ya miaka mitatu mpaka $37.4 billion kupewa hadhi ya low risk.

Katika muda wako ukakopa labda $5 billion na ukalipa $5 billion na mpaka unafariki deni la nchi lipo $37.4 billion; maana yake ume maintain the level of debt.

Ni rahisi sana kuwaambia watu, jamaa alikuwa anakopa sana lakini awakwambii katika alichokopa alilipa kiasi gani ndani ya muda wake.

Kwenye uongozi wa Magufuli deni la taifa lilikuwa stable baada ya kulishusha na kuitoa nchi from moderate risk to low risk.

Mwaka mmoja wa maza tumerudi tena kwenye moderate sasa hayo maamuzi yakupanda au kushushwa yanaenda sambamba na dept payments to revenue collection ata wakiongopa makusanyo yameshuka, halafu bado wanajiongeza admin costs.

The nonsense is beyond hivi vitu huwa vinakuja kuumiza mbeleni uwezi vificha vikianza kuuma tupo hapa.
Kilaza wakati mwingine unakuwa timamu sana. Hongera sana.
 
Back
Top Bottom