Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Tatizo moja tu kwako, wewe unatetea na mwenzako kaandika fact na hoja zenye nguvu!Umeandika ujinga tupu, hao watumishi hawafanyi kazi ya kanisa, wanastahili kupata kipato Cha kuwafanya waendeleze maisha yao, na kipato hicho kitaingia mtaani na kitazunguka na serikali itapata faida
Tumia vema ubongo na hata kama ni kweli umeongezewa mshahara,